
Serikali yakataa kusajili chama cha Gen Z
JARIBIO la watu kusajili vyama vya kisiasa nchini Kenya vyenye jina, Gen Z ili kuvuna wafuasi wa kisiasa kutokana kampeni zilizoanzishwa na vijana hao kupigania uongozi bora nchini zimezimwa na ofisi ya msajili wa vyama vya kisiasa nchini humo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Msajili wa vyama vya siasa nchini humo, Anne Nderitu amefichua…