Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 34
Habari

Serikali yakataa kusajili chama cha Gen Z

July 29, 2024 Admin

  JARIBIO la watu kusajili vyama vya kisiasa nchini Kenya vyenye jina, Gen Z ili kuvuna wafuasi wa kisiasa kutokana kampeni zilizoanzishwa na vijana hao

Read More
Habari

Othman aeleza mbinu ya watu kujiajiri, kuajiriwa

July 29, 2024 Admin

Pemba. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud amesema Serikali haina ajira bali ‘ujanja wa kuajiri watu’ ni kutengeneza uchumi imara ili wajiajiri. Pia, amewataka

Read More
Habari

ASILIMIA 50 YA WATUMISHI WANAHITAJIKA MIKOA YA PEMBEZONI

July 29, 2024 Admin

Na WAF – Dar Es Salaam Watumishi wa Afya nchini wametakiwa kwenda kufanya kazi katika Halmashauri za pembezoni mwa nchi ili kupunguza uhaba wa wataalamu

Read More
Michezo

Ni Yanga na Red Arrows Yanga Day

July 29, 2024 Admin

Ni Rasmi klabu ya Yanga imethibitisha kuwa itacheza na timu ya Red Arrows ya Zambia, kwenye kilele cha Mwananchi Day kitakachofanyika Jumapili Agosti 4, mwaka

Read More
Habari

Sweetbert Nkuba kuimarisha miundombinu TLS

July 29, 2024 Admin

  SWEETBERT Nkuba, ambaye ni miongoni mwa wagombea sita wa nafasi ya urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), moja ya sera zake ni uimarishaji

Read More
Habari

Serikali kutafuta mwarobaini changamoto mifumo ya kikodi

July 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Huenda changamoto za mifumo ya kikodi kwa wafanyabiashara nchini zikapata ufumbuzi, baada ya Serikali kutangaza kuunda kamati itakayochunguza na kubaini changamoto za

Read More
Habari

NAIBU WAZIRI MKUU DKT.BITEKO MGENI RASMI UZINDUZI WA SERA YA TAIFA YA BIASHARA 2003 TOLEO LA 2023

July 29, 2024 Admin

WIZARA ya Viwanda na Biashara imefanya mapitio ya Sera ya Taifa ya Biashara ya mwaka 2003 na kutoa toleo la Sera hiyo la 2023 (National

Read More
Michezo

Moses Phiri amalizana na Power Dynamos

July 29, 2024 Admin

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba Mzambia, Moses Phiri amejiunga na Power Dynamos FC ya Zambia kwa mkataba wa miaka miwili. Mshambuliaji huyo alikuwa akiichezea timu hiyo

Read More
Habari

UWANJA WA OLD TRAFFORD KUBEBE MASHABIKI LAKI MOJA – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 29, 2024 Admin

  Klabu ya Manchester United imepitisha mpango wa kujenga uwanja mpya wenye utakaobeba mashabiki 100,000.     Uongozi wa klabu hiyo unaamini kujenga uwanja mpya

Read More
Habari

Muga: Hakuna uonevu uchaguzi wa TLS, watu wasichanganye na siasa

July 29, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu MGOMBEA wa Urais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika(TLS), Emmanuel Muga, amesema hakuna uoenevu kwenye uchaguzi wa Urais ndani ya chama hichovkama inavyoelezwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 33 34 35 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.