Kakolanya anavyojipanga Namungo | Mwanaspoti

KIPA mpya wa Namungo FC, Beno Kakolanya ametaja matarajio yake ya msimu ujao kuwa ni kuipambania timu kumaliza  nafasi nne za juu, ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa. Kakolanya amejiunga na Namungo kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Ihefu ambako alisaini miaka miwili baada ya kuachana na Singida Fountain Gate. Amesema, “matarajio ni…

Read More

Kuuzwa soko la Kurasini, viongozi warushiana mpira

Dar es Salaam. Wakati viongozi wa soko la Kurasini, lililopo Mtaa wa Shimo la Udongo, barabara ya GSM jijini hapa, wakieleza wapo hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kuuza soko hilo, uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke umesema hautambui mauzo hayo. Mbali ya halmashauri, uongozi wa mtaa na wafanyabiashara zaidi ya 160 waliopo sokoni…

Read More

Ruto kuwalipia nauli Wakenya wanaokwenda kufanya kazi nje

  RAIS wa Kenya, William Ruto ameahidi kuwatafutia kazi pamoja na kuwalipia nauli ya ndege Wakenya waliopata kazi ughaibuni kwa lengo kuwatuliza vijana ambao wamekuwa wakimshinikiza ajiuzulu kwa kutotimiza ahadi alizotoa kabla ya kuchaguliwa 2022. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Akizungumza katika Kaunti ya Taita Taveta jana Jumapili, Rais alitangaza kuwa ana mpango wa kuharakisha…

Read More

Aliyemuua mwizi wa viazi vitamu afungwa jela miaka mitatu

Arusha. Mahakama Kuu ya Mtwara imemhukumu kifungo cha miaka mitatu na miezi sita jela, Hadija Issa (55), mkazi wa mkoani Lindi, baada ya kumkuta na hatia ya kuua bila kukusudia. Hadija alidaiwa Julai 17, 2023, mkoani Lindi, akiwa analinda ufuta shambani kwake, alisikia mtu anakohoa na alipofuatilia sauti alimuona akichimba viazi vitamu shambani kwake na…

Read More

Ng’ombe 20 wa supu kuchinjwa Jangwani

UONGOZI wa Yanga unatarajia kuchinja ng’ombe 20 kwa ajili ya kugawa supu kwa mashabiki wa timu hiyo kabla ya tamasha la Wiki ya Mwananchi, Agosti 4 mwaka huu. Hayo yamesemwa na Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Mwananchi ambapo ametaja matukio manne watakayoyafanya kabla ya tamasha hilo. Kamwe amesema…

Read More