KIPA mpya wa Namungo FC, Beno Kakolanya ametaja matarajio yake ya msimu ujao kuwa ni kuipambania timu kumaliza nafasi nne za juu, ili kupata nafasi
Month: July 2024

Bajeti ya Matengenezo na Maendeleo ya Barabara katika mkoa wa Njombe kwa Mwaka wa Fedha 2023-24, ni Shilingi Bilioni 11.583, ambapo katika fedha hizo Miradi

Dar es Salaam. Wakati viongozi wa soko la Kurasini, lililopo Mtaa wa Shimo la Udongo, barabara ya GSM jijini hapa, wakieleza wapo hatua za mwisho

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiambatana na Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, ameendelea na ziara

Matumaini ya Tanzania kupata medali ya Olimpiki kupitia kwa mwana judo Andrew Thomas Mlugu yalififia baada ya kuondolewa katika hatua ya 16 bora katika uzani

Ni Headlines za Mabingwa wa vifaa vya kielectronic ‘Haier’ wamezindua tawi lao litakalokuwa likipatikana Rock City Mall Gorofa ya kwanza Mkoani Mwanza. Sasa Kwa wakazi

RAIS wa Kenya, William Ruto ameahidi kuwatafutia kazi pamoja na kuwalipia nauli ya ndege Wakenya waliopata kazi ughaibuni kwa lengo kuwatuliza vijana ambao wamekuwa

Arusha. Mahakama Kuu ya Mtwara imemhukumu kifungo cha miaka mitatu na miezi sita jela, Hadija Issa (55), mkazi wa mkoani Lindi, baada ya kumkuta na

UONGOZI wa Yanga unatarajia kuchinja ng’ombe 20 kwa ajili ya kugawa supu kwa mashabiki wa timu hiyo kabla ya tamasha la Wiki ya Mwananchi, Agosti

Viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kagera wameungana kwa pamoja kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Viongozi wa