
Kamala Harris achangiwa bilioni 534 za kampeni
MAKAMU wa rais nchini Marekani na mgombeaji wa kiti cha urais, Kamala Harris amechangiwa Dola za Marekani 200 milioni (Sh 534.1 bilioni) za kufanya kampeni. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Hatua hiyo imejiri baada ya Rais wa taifa hilo, Joe Biden kutangaza kuacha kuwania urais dhidi ya mpinzani wake anayepeperusha bendera kwa tiketi ya…