Mfanyabiashara akata rufaa mfanyakazi wa CRDB kuachiwa huru

MFANYABIASHARA Deogratus Minja amewasilisha kusudio la kukata rufaa kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ya kumuachia huru mfanyakazi wa Benki ya CRDB, Ibrahim Masahi (40) ambae anatuhumiwa kumjeruhi na nyundo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Inadaiwa kuwa Masahi alimpiga na nyundo jirani yake Minja na kumsababishia…

Read More

Yanga kurejea alfajiri na kombe

BAADA ya kutwaa taji la Toyota Cup Afrika Kusini kikosi cha Yanga kinatarajia kuwasili alfajiri ya kesho. Yanga imetwaa taji hilo baada ya kuifunga Kaizer Chiefs mabao 4-0 mchezo wa kimataifa wa kirafiki kwa timu zote mbili ambazo zinajiandaa na ligi na michuano ya kimataifa. Akizungumza na wanahabari, Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe amewaita…

Read More

Maduro ashinda Urais Venezuela kwa awamu ya tatu

Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro ameshinda uchaguzi uliofanyika jana Jumapili hatua inayomuwezesha kuongeza muda wa utawala wake kwa muhula wa tatu wa miaka sita. Inaripoti Mitandao wa Kimataifa … (endelea). Rais wa Tume ya Uchaguzi ya CNE nchini humo, Elvis Amoroso amesema Maduro ameshinda kwa asilimia 51.2 ya kura huku asilimia 44.2 ikienda kwa mgombea…

Read More

Ni Yanga na Red Arrows kwa Mkapa

Ni Rasmi klabu ya Yanga imethibitisha kuwa itacheza na timu ya Red Arrows ya Zambia, kwenye kilele cha Mwananchi Day kitakachofanyika Jumapili Agosti 4, mwaka huu. Red Arrows, mabingwa wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame 2024) watacheza na Yanga ambayo pia imetoka kutwaa ubingwa wa Toyota Cup Afrika…

Read More

Cheza sloti ya Wolf Land Hold & Wind, ushinde mamilioni

Kukutana na wanyama wa porini, na furaha kubwa kati yao itatoka kwa mbwa mwitu. Karibu mahali pa burudani bora Zaidi na Maokoto mengi Meridianbet Kasino ya Mtandaoni Jisajili Ushinde. Wolf Land Hold and Win mchezo wa kasino ya mtandaoni wa Meridianbet kutoka kwa watoa huduma Playson. Katika mchezo huu, unatarajiwa kupata aina kadhaa za bonasi….

Read More

PUMZI YA MOTO: Simba na usajili kama Bongo Dar es Salaam

KATIKA wimbo wa Bongo Dar es Salaam wa Profesa Jay wa mwaka 2001 ndani ya albamu ya Machozi, Jasho na Damu, mkali huyo wa mashairi alihadithia ujanja ujanja wa kimjini unaopatikana Dar es Salaam karne ya 21. Profesa Jay ambaye alitoka kubadilisha jina kutoka Nigger Jay, aliimba maneno yafuatayo kuelezea mikasa ya kimjini iliyokuwa ikiendelea…

Read More

Mil. 300 zakusanywa mbio za NBC Dodoma Marathon

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana Jumapili ameongoza washiriki zaidi ya 12,000 wa mbio za NBC Dodoma Marathon zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma huku akiwapongeza waandaaji wa mbio hizo Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kufanikiwa kukusanya fedha kiasi cha Sh 300 milioni zitakazoelekezwa katika kuokoa maisha ya mama na mtoto. Anaripoti Mwandishi…

Read More