
URUS TZ teknolojia ya uhiilishaji mifugo maenesho Nanenane
IKIWA ni sehemu ya kusaidia jitihada za kukuza sekta ya mifugo hapa nchini, Kampuni ya URUS inatatajiwa kushiriki maonesho ya Nanenane mwaka huu katika mikoa sita ya Morogoro, Dodoma, Mbeya, Arusha, Simiyu na Kagera kwa lengo la kuonyesha teknolojia ya kisasa na yenye tija zaidi ya uzalishaji wa mifugo kupitia uhimilishaji kutoka nchini Marekani na…