Madiwani wawili wa upinzani Mchinga watimkia CCM

Mchinga. Madiwani wawili kutoka Kata za Milola na Rutamba zilizopo katika Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, wamehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kuvutiwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo na unaofanywa na Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Madiwani hao ni Hussen Kimbyoko kutoka Chama cha Wananchi (CUF) pamoja na Athumani Mmaije kutoka…

Read More

WATAALAM WA MAABARA MUHIMBILI ( UPANGA&MLOGANZILA) WADHAMIRIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA

     Wataalam wa Maabara wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (Upanga na Mloganzila ) wamekutana kwa lengo la kujadili na kutathimini utendaji kazi wa maabara ili kuendelea kuboresha utoaji wa huduma na kuhakikisha maabara za Muhimbili zinaendelea kukidhi viwango vya kimataifa. Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Prof. Mohamed Janabi, Naibu Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

Wanakijiji wapewa siku 14 kupinga uamuzi wa RC Tanga

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo  ya Tanga, imetoa siku 14 kwa wananchi 11 wa Kijiji cha Nghobore, kufungua shauri la maombi ya marejeo kupinga uamuzi wa mkuu wa mkoa wa huo, kugawa eneo la hekta 13,000 kwa kijiji cha jirani na Jeshi la Wananchi Tanzania  (JWTZ). Aidha, Mahakama hiyo imekataa kutoa zuio la kusitishwa kwa…

Read More

Olimpiki ilikuwa ya wanaume, Helene akaibadili

KWA mara ya kwanza katika historia ya miaka 128 ya michezo ya Olimpiki ambayo hivi sasa inafanyika Paris, Ufaransa, pamekuwepo usawa wa kijinsi uliokuwa ukipigiwa kelele kwa miaka mingi, hasa na wanawake. Katika michezo hii wapo washiriki 5,630 wanaume na wanawake ni 5,416. Haikuwa kazi rahisi kwa kiwango hiki kufikiwa kutokana na michezo ilianza kwa…

Read More

TAKUKURU TANGA YAANZA UCHUNGUZI WA MIRADI ILIYOKUWA NA MAPUNGUFU KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2024

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Tanga,Afisa Uchunguzi Mwandamizi wa Takukuru Mkoa wa Tanga Frank Mapunda wakati akitoa taarifa utendaji kazi wao kwa kipindi cha kuanzia Aprili hadi Juni 2024.Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Tanga,Afisa Uchunguzi Mwandamizi wa Takukuru Mkoa wa Tanga Frank Mapunda wakati akitoa taarifa utendaji…

Read More