Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 4
Habari

Madiwani wawili wa upinzani Mchinga watimkia CCM

July 31, 2024 Admin

Mchinga. Madiwani wawili kutoka Kata za Milola na Rutamba zilizopo katika Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, wamehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kuvutiwa na

Read More
Habari

WATAALAM WA MAABARA MUHIMBILI ( UPANGA&MLOGANZILA) WADHAMIRIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA

July 31, 2024 Admin

     Wataalam wa Maabara wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (Upanga na Mloganzila ) wamekutana kwa lengo la kujadili na kutathimini utendaji kazi wa maabara

Read More
Habari

MBARONI AKIBADILISHA FEDHA BILA KIBALI – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha, kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania, limemkamata Samwel Mbise (42), mkazi wa Sanawari, Arusha, kwa kufanya biashara ya

Read More
Habari

Wanakijiji wapewa siku 14 kupinga uamuzi wa RC Tanga

July 31, 2024 Admin

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo  ya Tanga, imetoa siku 14 kwa wananchi 11 wa Kijiji cha Nghobore, kufungua shauri la maombi ya marejeo kupinga uamuzi

Read More
Habari

MRADI WA SLR WATENGA EKARI 28,000 UREJESHAJI UOTO WA ASILI

July 31, 2024 Admin

Ofisi ya Makamu wa Rais kupitia Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR) imetenga ekari 28,000 za misitu ya jamii

Read More
Michezo

Olimpiki ilikuwa ya wanaume, Helene akaibadili

July 31, 2024 Admin

KWA mara ya kwanza katika historia ya miaka 128 ya michezo ya Olimpiki ambayo hivi sasa inafanyika Paris, Ufaransa, pamekuwepo usawa wa kijinsi uliokuwa ukipigiwa

Read More
Habari

RAIS SAMIA KUKAGUA MIRADI MIPYA MKOANI MOROGORO – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kukagua jumla ya miradi 14 ya kimaendeleo inayohushisha sekta mbalimbali ambayo imetokana

Read More
Habari

Je Kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh ni nani? – DW – 31.07.2024

July 31, 2024 Admin

Wengi walimchukulia Haniyeh kuwa mtu wa misimamo ya wastani zaidi kinyume na wanachama wenzake wa Hamas ndani ya Gaza. Akiwa amezaliwa kwenye kambi ya wakimbizi

Read More
Habari

Uwekezaji wa Sh3.24 trilioni kukabili uhaba wa mbolea nchini

July 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kilio cha uhaba wa mbolea nchini huenda kikafikia ukomo, baada ya kusainiwa makubaliano ya ujenzi wa kiwanda cha kuzalisha mbolea aina ya

Read More
Habari

TAKUKURU TANGA YAANZA UCHUNGUZI WA MIRADI ILIYOKUWA NA MAPUNGUFU KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2024

July 31, 2024 Admin

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Tanga,Afisa Uchunguzi Mwandamizi wa Takukuru Mkoa wa Tanga Frank Mapunda wakati akitoa taarifa utendaji kazi wao

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3 4 5 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.