VIONGOZI WA DINI KAGERA WAMUOMBEA RAIS SAMIA, BASHUNGWA AWASILISHA MCHANGO HARAMBEE UJENZI WA KANISA ANGLIKANA

Viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kagera wameungana kwa pamoja kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Viongozi wa Kitaifa na Serikali kwa kuendelea kudumisha Amani, Utulivu, Upendano na Maelewano. Ibada hiyo iliyowakutanisha viongozi wa Dini ya Kikristo na Kiislamu imefanyika leo Julai 28, 2024 katika Kanisa Anglikana Mt….

Read More

Serikali kuja na mbinu mpya kukabili utekaji watoto

Dar es Salaam. Wakati kukidaiwa kuwepo kwa vitendo vya utekaji dhidi ya watoto nchini Tanzania, Serikali imefanya maboresho ya mifumo na mikakati ya kuyakabili. Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, licha ya kuwepo kwa matukio hayo, yanavyoripotiwa ni tofauti na uhalisia wa wingi wake. Kauli hiyo ya Serikali inakuja katika kipindi…

Read More

LAWI AKIMBIA KABISA NCHINI – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Beki aliyesajiliwa na kutambulishwa na Simba akitokea Coastal Union, Lameck Lawi ameanza rasmi mazoezi Ubelgiji, baada ya kufanya vipimo katika klabu ya K.A.A Gent inayoshiriki Ligi Kuu ya Ubelgiji.   Akizungumza kwa njia ya simu, kutoka Ubelgiji; “Naendelea vizuri na tayari nimeanza kufanya mazoezi na timu hii nafikiri suala la mimi kuuzwa au kufanya…

Read More

Wagombea urais TLS waendelea kumwaga sera zao

Na Mwandishi Wetu KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), ambao unatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa wiki hii zinaendelea kupamba moto kwa ambapo wagombea wanaendelea kunadi sera wakitaka kufanya mabadiliko kwenye taasisi hiyo. Mmoja wa wagombea wa nafasi hiyo, Sweetbert Nkuba, alisema mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam kuwa anataka nafasi…

Read More

Kijana akamatwa akiondoka na ekaristi takatifu kanisani

Ifakara. Matukio ya watu kuvamia na kutenda mambo yasiyoruhusiwa katika nyumba za ibada yameendelea kujitokeza baada ya Enock Masala (19), mkazi wa Ifakara, mkoani Morogoro kujikuta matatani alipotaka kutoroka na ekaristi takatifu. Hata hivyo, katika maelezo yake, Masala amedai kuwa yeye si mkatoliki na alitenda tukio hilo baada ya kuona wakristo wengine wakipanga foleni na…

Read More