Viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kagera wameungana kwa pamoja kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Viongozi wa
Month: July 2024

Nyota mpya wa klabu ya Yanga Sc, Chadrack Boka bado hana uhalali wa kuwatumikia waajiri wake hao wapya baada ya klabu ya FC

Dar es Salaam. Wakati kukidaiwa kuwepo kwa vitendo vya utekaji dhidi ya watoto nchini Tanzania, Serikali imefanya maboresho ya mifumo na mikakati ya kuyakabili. Kwa

Katibu wa NEC, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndg. Rabia Abdalla Hamid, amesema safari za kikazi nje ya nchi anazozifanya Rais Dk. Samia

Beki aliyesajiliwa na kutambulishwa na Simba akitokea Coastal Union, Lameck Lawi ameanza rasmi mazoezi Ubelgiji, baada ya kufanya vipimo katika klabu ya K.A.A Gent

Dodoma. Serikali imeunda timu ya kutatua mgogoro kati ya wachimbaji wadogo na aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia, huku ikiwaondoa

Na Mwandishi Wetu KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), ambao unatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa wiki hii zinaendelea kupamba moto kwa

Washiriki wa mbio za NBC Dodoma Marathon wakipata burudani ndani ya banda la Captain Morgan mara baada ya mbio hizo zilizofanyika jijini Dodoma leo

Ifakara. Matukio ya watu kuvamia na kutenda mambo yasiyoruhusiwa katika nyumba za ibada yameendelea kujitokeza baada ya Enock Masala (19), mkazi wa Ifakara, mkoani Morogoro

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA)iliyo chini ya Wizara ya Afya, imetoa taarifa kwa Umma ufafanuzi kuhusu uvumi juu ya Dawa ya Paracetamol