Sloti ya Kasino Rahisi Kushinda Unapocheza

KUTANA na mchezo wa kasino wenye sifa ya kutoa washindi kila sekunde, yaani ni rahisi kushinda kuliko kumeza mate, mchongo huu unapatikana pale Meridianbet wakali wa kasino ya Mtandaoni, unaambiwa ukijisajili ukaongeza salio unapewa bonasi ya ukaribisho hadi Tsh Milioni 3,000,000/= Mchezo huu unaangazia Wild West na saluni, benki na ofisi ya POLISI ikiwa nyuma…

Read More

Yacouba arudi Bongo kuliamsha tena

NYOTA wa zamani wa Yanga na Ihefu (sasa Singida Black Stars), Yacouba Songne amerejea Bongo akisaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Tabora United inayoshiriki Ligi Kuu Bara kwa msimu wa pili sasa. Yacouba amejiunga na Tabora, akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na AS Arta/Solar7 ya Djibouti aliyojiunga nayo akitokea Ihefu na kufanikiwa kutwaa…

Read More

Uchaguzi wa TLS wapamba moto

  WAKATI Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) unaotarajiwa kufanyika Agosti 2, 2024,wangobea urais wa chama hicho wameendelea kunadi sera zao ili wachanguluiwe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Wangobea wa urais mwaka huu ni Emmanuel Muga, Ibrahim Bendera, Sweetbert Nkuba, Paul Kaunda, Revocatus Kuuli, na Boniface Mwabukusi. Kupitia mdahalo…

Read More

MERIDIANBET YARUDISHA KWA JAMII TENA

KAMPUNI inayosifika kwenye ubashiri ya Meridianbet imefanikiwa lurudisha kwenye jamii kwa mara nyingine tena na leo wamefika maeneo ya Mbagala Kingugi jijini Dar-es-salaam. Zamu hii imekua ni Mbagala ambapo Meridianbet wamefanikiwa kufika kwenye familia yenye uhitaji kwelikweli na kutoa msaada, Ambapo wametoa msaada kwenye familia ya Mzee Yusuph Mdogwa ambaye ana ulemavu wa macho. Familia…

Read More

Beatrice anayetamani kina Job wa soka la Wanawake Moro

MWENYEWE anasema ndoto aliyonayo ni kutaka kuona Mkoa wa Morogoro unafunika katika soka la Wanawake kama ilivyo kwa vipaji kibao kinavyotawala ndani ya Ligi Kuu Bara. Huyu ni Beatrice Seleman, Mwenyekiti wa Soka la Wanawake Mkoa wa Morogoro, alichukua kijiti cha Edna Lema, kocha wa zamani wa Biashara United aliyerejea Yanga Princess inayoshiriki Ligi Kuu…

Read More

Walima ufuta Kilwa walalama kucheleweshewa malipo

Kilwa. Baadhi ya wakulima wa zao la ufuta kutoka kijiji cha Zinga Kibaoni ambao ni wanachama wa Kibaoni Amcos wilayani Kilwa mkoani Lindi, wamelalamika kucheleweshewa malipo yao baada ya mnada wa ufuta kufanyika. Wakulima hao wamesema wanashangaa na hawaelewi ni kwa nini wanacheleweshewa malipo ilhali wanaona kila siku magari yanakwenda kuchukua ufuta katika ghala lao….

Read More