Wagombea urais TLS ‘wanyukana’ kwa dakika 150

Dar es Salaam. Suala la kupatikana kwa Katiba mpya, ulinzi wa rasilimali za Taifa na matukio ya utekaji, ni miongoni mwa mambo yaliyojenga msingi wa hoja za wagombea wa urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), zilizochukua dakika 150 sawa na saa 2:30. Hoja hizo zilikuwa mithiri ya turufu kwa kila mgombea alipojibu maswali yaliyoulizwa…

Read More

NABERERA CTK YAZINDUA MBEGU MPYA ZA NGURUWE TANZANIA

UZALISHAJI wa nguruwe Tanzania umekuwa ukiongezeka kutokana na uboreshwaji wa miradi unaofanywa na wafugaji nchini ambao wamekuwa wakiboresha ili kuendana na soko lililopo kwasasa ambsalo limeonekana kukua. Ameyasema hayo Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Mifuko, Wizara ya Mifugo na uvuvi, Dk. Stanford Ndibalema wakati wa uzinduzi wa mbegu mpya za nguruwe pamoja na uhimilishaji wa…

Read More

Aliyeua watoto wawili na kuwatoa ubongo kisa mahari, kunyongwa

Musoma. Ni ukatili, ndivyo unaweza kuelezea kitendo alichokifanya Kitonyo Mwita, mkazi wa Musoma mkoani Mara, jinsi alivyowaua watoto wawili, kiini kikiwa ni kurudishiwa ng’ombe aliotoa kama mahari ya mwanaye. Tafrani hiyo ilianzia pale mtoto huyo wa kiume alipofariki dunia muda mfupi baada ya kufunga ndoa na baba akamuomba mjane amuoe, alipokataa alimrudisha kwa wazazi wake…

Read More

Yanga SC Princess yamsaka mbaya wao

BAADA ya kuiwezesha Ceasiaa Queens kumaliza katika nafasi ya nne, kocha mkuu wa timu hiyo, Noah Kanyanga ameanza kuwindwa na Yanga Princess na huenda msimu ujao akakiongoza kikosi hicho cha Jangwani katika Ligi Kuu ya Wanawake nchini. Kanyanga alikuwa na msimu bora huku akivuna alama nne kwa Yanga baada ya kushinda mchezo mmoja kwa bao…

Read More

40 Gofu nchi 9 kuliamsha Zanzibar

WACHEZA gofu 40 kutoka mataifa 9 duniani wamethibitisha kushiriki katika michuano ya maalum ya Maofisa Watendaji Wakuu na Mabalozi, huku waandaaji wake wakisema zimesalia nafasi 30 tu kabla ya mashindano kutimua nyasi visiwani Zanzibar mwezi Septemba mwaka huu. Nahodha wa Klabu ya Gofu ya Sea Cliff ya Zanzibar na mratibu wa mashindano hayo, Elias Soka…

Read More

Mchengerwa asisitiza makandarasi wazawa kutonyimwa tenda

Mbeya. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa ameeleza kutoridhishwa na hali ya makandarasi wazawa kukosa tenda za ujenzi wa miradi ya barabara kwa kisingizio cha ukosefu wa mitaji. Kutokana na hilo, Mchengerwa ameiagiza Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (Tarura)…

Read More

Dk Nchimbi asimulia alivyolipiwa ada na hayati Mkapa

Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi amesimulia namna Rais wa awamu ya tatu, hayati Benjamin Mkapa alivyomuhamasisha kuendelea na masomo ya elimu ya juu na kumlipia ada ili kufanikisha jambo hilo. Dk Nchimbi amesimulia hayo leo Jumapili Julai 28, 2024 alipotembelea kaburi la hayati Mkapa lililopo katika Kijiji cha Lupaso, Wilaya ya Masasi mkoani…

Read More

ACT-Wazalendo wapinga uchaguzi Zanzibar kufanyika siku mbili

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimesisitiza msimamo wake wa kupinga uchaguzi mkuu kufanyika siku mbili visiwani Zanzibar, kikitaka ufanywe siku moja. Mwenyekiti wa chama hicho, Othman Masoud Othman amesema hawatakubali jambo hilo liendelee. Othman ambaye pia ni makamu wa kwanza wa Rais visiwani humo, anakuja na hoja hiyo ilhali ni takwa la kisheria iliyotungwa kwa lengo…

Read More