Mbeya Unity sio kinyonge! | Mwanaspoti

WAKATI Ligi Kuu ya Netiboli nchini ikitarajiwa kuanza Agosti 1 huko jijini Arusha, Mbeya Unity Queens imesema hawataenda kinyonge katika mashindano hayo, bali kupambania heshima ya Mkoa wa Mbeya kubeba ubingwa, huku ikilia na ukata. Mbeya Unity ndio msimu wake wa kwanza kushiriki ligi hiyo baada ya kupanda daraja mwaka huu na kuungana na ndugu…

Read More

Raisa Samia kuongoza mkutano wa 15 wa TNBC

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) utakaofanyika Ikulu Jijini Dar es Salam kesho (Jumatatu). Akizungumzia mkutano huo muhimu wa baraza hilo jijini Dar es Salaam leo Jumapili, Katibu Mtendaji wa TNBC, Dk. Godwill Wanga amesema kuwa mkutano huo unalenga kuangazia mazingira bora ya ufanyaji biashara…

Read More

Gymkhana, Lugalo moto utakuwaka | Mwanaspoti

LITAKUWA ni juma lililosheheni shughuli nyingi kama mzinga wa nyuki kwenye viwanja vya Dar Gymkhana na TPDF Lugalo yatakakofanyika mashindano mawili makubwa ya kuukaribisha mwezi Agosti jijini, Dar es Salaam. Kwenye viwanja vya TPDF Lugalo, mwezi Agosti utakaribishwa na mashindano ya wazi ya KCB yatakayoshirikisha wachezaji kutoka klabu zote nchini na wachezaji wa jinsi zote…

Read More

Mchezo gani wa kasino rahisi kushinda?

Kutana na mchezo wa kasino wenye sifa ya kutoa washindikila sekunde, yaani ni rahisi kushinda kuliko kumeza mate, mchongo huu unapatikana pale Meridianbet wakali wakasino ya Mtandaoni, unaambiwa ukijisajili ukaongeza saliounapewa bonasi ya ukaribisho hadi Tsh Milioni 3,000,000/= Mchezo huu unaangazia Wild West na saluni, benki na ofisi yaPOLISI ikiwa nyuma yake. Utaona kivuli cha…

Read More

KAMPUNI YA SWALA SOLUTION YAWAJENGEA NYUMBA WALIMU MSALALA

Wafanyakazi wa Swala Solution na walimu wa shule ya msingi Nyangaka wakifurahia uzinduzi wa nyumba ya walimu Wafanyakazi wa Swala Solution na walimu wa shule ya msingi Nyangaka wakifurahia uzinduzi wa nyumba ya walimu Nyumba ya walimu iliyojengwa na kampuni ya Swala Mwakilishi wa kampuni ya Swala Solution, Raymond Warioba, akiongea katika hafla hiyo Walimu…

Read More

Waumini waeleza sababu kupinga Kanisa lao kufungwa

Dar es Salaam. Waumini wa kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe, maarufu Kiboko ya Wachawi, lililopo Buza Kwa Lulenge jijini Dar es Salaam wamesema miongoni mwa sababu zinazowafanya kupinga uamuzi wa Kanisa hilo kufungiwa ni huduma za kiroho na uponyaji walizokuwa wakizipata kanisani hapo. Waumini hao wamefika kanisani hapo asubuhi…

Read More

Hivi ndivyo Sweetbert Nkuba alivyojipanga kuiboresha TLS

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital MGOMBEA wa urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika(TLS),Sweetbert Nkuba ameelezea namna ambavyo amejipanga kuleta mabadiliko ndani ya chama hicho endapo atachaguliwa kushika nafasi hiyo. Moja ya mipango yake amesema ni kuboresha miundombinu ya TLS, uimarishaji wa miundombinu ya kisheria na kiteknolojia ili kuwezesha huduma bora kwa wanachama na jamii hususani…

Read More

Songea United kazi imeanza huko

BAADA ya kukamilisha mchakato wa kubadili jina kutoka Fountain Gate Talents kuwa Songea United, uongozi umesema kwa sasa unahamia katika kusuka timu mpya kwa usajili bora ili kuisaka Ligi Kuu msimu ujao. Timu hiyo yenye makazi yake mjini Songea, inatarajia kushiriki Championship msimu ujao ambapo awali ilijulikana kama FGA Talents na sasa itasomeka Songea United…

Read More