KenGold mambo ni moto kambini

WIKI tatu ambazo KenGold imekaa katika mji wa Tukuyu ikijifua kwa ajili ya Ligi Kuu, zimewafanya vijana wa timu hiyo kuwa tayari kuingia uwanjani japokuwa kwa sasa kocha mkuu wa KenGold, Fikiri Elias amesema anatafuta kikosi cha kuanza (First Eleven). Msimu ujao unaoanza Agosti 16 ndio wa kwanza kushiriki Ligi Kuu kwa timu hiyo iliyopanda…

Read More

Dk Nchimbi atua Mtwara, kutembelea kaburi la Mkapa

Masasi. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amewasili Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kuanza ziara ya siku nne katika mikoa ya Mtwara na Lindi. Dk Nchimbi amewasili katika uwanja wa ndege wa Masasi leo Jumapili Julai 28, 2024 na kupokelewa na viongozi wa CCM Mkoa wa Mtwara pamoja na mamia ya…

Read More

Spika Tulia amfunda Kombo jinsi ya kumsaidia Samia

SPIKA wa Bunge na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson amemtaka Mbunge mteule, Balozi Mahmoud Thabit Kombo kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wanaendeleza mahusiano kati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kimataifa. Amesema Rais Samia anatekeleza mipango mingi hivyo, wana jukumu la kumsaidia katika kutekeleza mipango hiyo kama alivyowaamini….

Read More

Cheza Expanse kasino ushinde mamilioni

  Expanse Tournament bado inaendelea, huenda leo ukaibuka mshindi wa Zaidi ya 2,500,000/= cheza kasino ya mtandaoni huku ukivuna mabonasi ya kasino kibao. Jisajili hapa kisha anza safari ya ushindi. Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse Kasino washindi 40, watagawiwa bonasi za kasino na pesa taslimu kwenye kaunti zao za Meridianbet. ZAWADI ZIKOJE?  Expanse…

Read More