Ukatili dhidi ya watoto: Usalama wao uko wapi?

Dar es Salaam. Dunia imebadilika, jamii pia imetoka kwenye msingi wa malezi, jambo linalosababisha watoto wengi kutokuwa salama katika makuzi yao.  Japo kuna maeneo ni jambo la kawaida kumkuta mtoto akicheza katika mazingira ambayo si rafiki kwa umri wake, mzazi hajali na kuchukulia ni kawaida, jambo ambalo linatajwa kuwa kichocheo cha ukatili dhidi yao. Mchambuzi…

Read More

MTU WA MPIRA: Hata Fei Toto anamshangaa Kibu Denis

KUNA watu wana matukio ya kutisha. Fikiria kuna vijana wa miaka 25 tu, walishafumaniwa. Wameshatoa mimba kadhaa. Wameshakataa mimba kadhaa. Wameshakaa jela. Wamemaliza kila kitu. Ni vitu vya kutisha. Ni kama unavyosikia siku hizi watu wanaiba watoto wa kiume kisha wanawakata sehemu zao nyeti za mwili. Wanawezaje? Inafikirisha sana. Dunia imekuwa sehemu ya kutisha. Wanadamu…

Read More

HATARI…! Blanco amvunja kidole kipa kwa mashuti

UNAWEZA usiamini, lakini ndio ukweli ulivyo. Mshambuliaji mpya wa Azam FC, Jhonier Blanco hafai kwa matumizi ya makipa. Hivi ndivyo unavyoweza kusema kumhusu raia huyo wa Colombia. Hapa sizungumzii mabao ambayo ameshafunga hadi sasa katika mechi za maandalizi kabla ya msimu, hapana. Nazungumzia maajabu anayoendelea kuyaonyesha kambini mjini Benslimane hapa Morocco. Kwenye mazoezi kuelekea mchezo…

Read More

Yanga, Nabi kazi ipo Sauzi

YANGA itacheza mchezo wa mwisho wa kirafiki wa kimataifa leo Jumapili ambao ni wa kuwania Kombe la Toyota ikikutana na wenyeji, Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, lakini ikitarajiwa bato ya aina yake kwani inakikutanisha kikosi hicho dhidi ya kocha aliyekirejesha katika mstari misimu mitatu iliyopita. Kaizer Chiefs maarufu kama Amakhosi, inafundishwa na Nasreddine Nabi aliyeipa…

Read More

Dabi ya Kariakoo kuitesti VAR

SIKU hazigandi. Bado siku 11 tu kabla ya Simba na Yanga kuvaana katika pambano la Dabi ya Kariakoo ya Ngao ya Jamii. Timu hizo zitakutana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kukata utepe wa msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2024-2025, zote zikiwa zimetoka kufanya matamasha yao, Simba Day na Wiki ya…

Read More