DKT.BITEKO ASHIRIKI BONANZA LA NISHATI JIJINI DODOMA

  Watumishi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo wakiwa katika mazoezi ya matembezi wakati wa  Bonanza la Nishati ambalo limefanyika  leo Julai 27,2024 Jijini Dodoma likibebwa na Kaulimbiu Shiriki Michezo Imarisha Afya. Watumishi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo wakifanya  mazoezi mbalimbali  wakati wa  Bonanza…

Read More

Mchengerewa azipa kibarua halmashauri 45

Mbeya. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Mohamed Mchengerwa ameagiza halmashauri 45  zilizopitiwa na mradi wa Uboreshaji wa Miji Tanzania (Tactic), kujiendesha kupitia masoko na vituo vya mabasi ili kuongeza mapato. Mchengerwa ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Julai 27, 2024 mkoani hapa wakati akishuhudia utiaji saini ujenzi wa mradi wa stendi ya mabasi eneo…

Read More

Majaliwa achangisha Sh900 milioni ujenzi wa kanisa Lindi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameendesha harambee iliyowezesha kuchangisha Sh928.67 milioni za ujenzi wa kanisa kuu tarajiwa la Mtakatifu Andrea Kagwa la Jimbo Katoliki la Lindi. Kati ya fedha hizo Sh464.3 milioni ni fedha taslimu na nyingine kati ya hizo zimeshawekwa benki. Sh464.37 milioni zikiwa ahadi. Awamu ya kwanza ya ujenzi huo inatarajiwa…

Read More

Serikali yalifunga Kanisa la Kiboko ya wachawi

Dar es Salaam. Serikali imeagiza kufungwa Kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe maarufu Kiboko ya Wachawi, lililopo Buza Kwa Lulenge. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya kanisa hilo kwenda kinyume cha taratibu za usajili. Barua hiyo ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Ofisi ya Msajili wa Jumuiya za…

Read More

Nderiananga azindua nyaraka za miongozo ya usimamizi wa maafa kwa Wilaya ya Kibiti 

Na Gustaphu Haule, Mtanzania Digital  NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Hamis Nderiananga, amezindua nyaraka za miongozo ya usimamizi wa masuala ya maafa kwa Wilaya ya Kibiti mkoani Pwani na kuwataka watendaji wa Wilaya hiyo  kuiweka ajenda ya maafa katika vikao vya ushauri vya Wilaya (DCC). Nderiananga amezindua nyaraka hizo juzi Wilayani…

Read More

Hamasa kuhusu Kamala ‘Kamala-mania’ yafika Ulaya – DW – 27.07.2024

“Ni hali ya kustaajabisha” – ndivyo alivyokiita Amy Porter, msemaji wa Muungano wa chama cha Democratic nje ya Marekani, Democratic Abroad, DA, kile kilichotokea nchini Marekani wiki moja iliyopita. Tangu uamuzi wa rais Joe Biden kukabidhi kijiti cha uongozi kwa makamu wa rais Kamala Haris, Porter anasema muungano huo, unaokiwakilisha chama cha Democratic ulimwenguni kote,…

Read More