Madereva magari ya Serikali wanaoendesha kibabe barabarani sasa kukiona

Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita kupitia kitengo cha Usalama Barabarani, limewatahadharisha madereva wanaoendesha magari ya Serikali kuacha kutumia mwavuli wa kuwa madereva wa Serikali kama kisingizio cha kufanya makosa barabarani. Hii ni baada ya kuonekana kuwa baadhi ya madereva hao hawazingatii sheria za usalama barabarani, wakitegemea kwamba utetezi wa kuwa wao ni madereva wa…

Read More

BALOZI NCHIMBI APOKEA TAARIFA UTEKELEZAJI ILANI MCHINGA, AMPONGEZA MBUNGE MAMA SALMA KIKWETE KWA KAZI NZURI

“Niseme nimeisikiliza taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, tena kwa umakini sana kwa niaba ya CCM nakupongeza wewe na viongozi wenzako kwa kazi kubwa unayofanya. Umetembelea kata zote na vijiji vyote. Umetumia hadi bodaboda na bajaji kuwafikia wananchi wa Jimbo la Mchinga, unaguswa na changamoto za wananchi wenzako wa Mchinga na unapambana…

Read More

DAKTARI ALIYEWEZA KUTIBU UKIMWI, KANSA KWA DAWA ZA ASILI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Dr. Sebi, mganga maarufu, aliyewahikutibu UKIMWI, kansa, na kisukari kwa kutumia mitishamba, akifanikisha mahitaji ya kiafya ya Waafrika wengi, huku akipinga tiba za kizungu na biashara za madawa. Dr. Sebi alikabiliana na kesi 2,781 za udanganyifu na utapeli, akashinda zote, lakini baadaye alibambikiziwa kesi ya utakatishaji fedha na kufungwa, akafia jela. Muimbaji Nipsey Hussle alifanyia…

Read More

JWTZ latangaza ajira mpya, utaratibu huu hapa

Dar es Salaam. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kuandikishwa jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu ya kidato cha nne na kidato cha sita na wasiozidi miaka 25. Uandikishwaji huo utahusisha pia vijana waliopo katika makambi ya Jeshi la Kujenga Taifa (Operesheni Jenerali Venance Mabeyo) na waliomaliza mkataba ambao…

Read More