Kikwete ataka Watanzania kukiuza Kiswahili

Dar es Salaam. Rais mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete amewaasa wananchi kujenga tabia ya kupenda kusoma vitabu, ili kukuza uwezo wa kitaaluma na uvumbuzi wa mambo mapya na kupunguza makosa katika lugha ya Kiswahili. Kikwete ameyasema hayo leo Julai 27, 2024 katika maadhimisho ya miaka 10 ya Watetezi wa Kiswahili Tanzania (WAKITA) yaliyofanyika katika Ukumbi wa…

Read More

Diarra afichua siri, amtaja Aucho

KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra amesema kitendo cha uongozi wa timu hiyo kuendelea na ukuta wao uliofanya vizuri misimu mitatu mfululizo kinaendelea kuiweka timu hiyo sehemu salama huku akimtaja Khalid Aucho kuwa ndio mchezaji kiongozi katika eneo hilo. Yanga licha ya kufanya vurugu sehemu mbalimbali ikiongeza nyota wapya imeendelea kubaki na Ibrahim Abdallah…

Read More

Rais Samia ataka utafiti kutatua changamoto za usalama

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kukiwezesha Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) kuhakikisha kinakuwa kituo bora cha tafiti zitakazotatua changamoto za kiusalama duniani. Ametoa ahadi hiyo akieleza Afrika na dunia kwa ujumla inakabiliwa na changamoto nyingi za kiusalama na tafiti ndizo zitakazokuwa jawabu. Kauli ya Rais Samia imetolewa katika kipindi…

Read More

Lawi aanza mambo Ubelgiji | Mwanaspoti

BEKI aliyesajiliwa na kutambulishwa na Simba akitokea Coastal Union, Lameck Lawi ameanza rasmi mambo Ubelgiji, baada ya kufanya vipimo katika klabu ya K.A.A Gent inayoshiriki Ligi Kuu ya Ubelgiji. Dili la Lawi kutua Simba lilikwama baada ya mabosi wa Coastal kuvunja biashara na Simba kwa madai ya kucheleweshewa malipo na mchezaji huyo kusafiri hadi Ubelgiji…

Read More

CHEZA AVIATOR NA SUPER HLI KASINO USHINDE MZIKI MZITO

HAWA ndio wakali wa kasino, unapofikria kufanya Unyama wa kutosha kwa kucheza michezo ya kasino ya mtandaoni, basi kimbilio ni moja tu Meridianbet. Jisajili na upate Bonasi ya Ukaribisho hadi Tsh Milioni 3,000,000/= Njia pekee ya kufanikiwa kufikia malengo na kutoboa maisha, ni kucheza michezo pendwa ya kasino Aviator na Super HELI kwa dau dogo…

Read More

Boban akimbilia Tusker Kenya | Mwanaspoti

TUSKER ya Kenya imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji wa Biashara United, Mganda Boban Zirintusa kwa mkataba wa mwaka mmoja. Msimu uliopita nyota huyo alikuwa katika kiwango bora kwenye kikosi hicho cha Mara kilichoshiriki Ligi ya Champion-ship baada ya kufunga mabao 21, ikiwa ni idadi sawa na shambuliaji nyota wa KenGold, Edgar William. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

TANZANIA YASISITIZA UMUHIMU WA TAKWIMU KIUCHUMI

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, akiwasilisha hoja mbalimbali wakati wa kufunga Kikao cha Kwanza cha Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Ugharamiaji kwa Maendeleo Endelevu (Fouth International Conference on Financing for Deveoplopment – FfD4, kilichofanyika mjini Addis Ababa nchini Ethiopia, lengo likiwa ni kuandaa mkutano huo…

Read More

Ouma akalia kuti kavu Coastal

UONGOZI wa Coastal Union uko katika hatua za awali za kuachana na kocha mkuu wa timu hiyo, Mkenya David Ouma, huku Abdihamid Moallin wa KMC akitajwa kwenda kuchukua mikoba kwa ajili ya msimu ujao. Mbali na mchakato huo wa kusaka kocha mkuu, tayari kikosi hicho kimemuongeza aliyekuwa kocha wa Fountain Gate, Ngawina Ngawina ili awe…

Read More