Adaiwa kumlawiti mwenzake akimdanganya kusukuma bodaboda

Arusha. Jeshi la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia Dominick Miduriek (32) mkazi wa Oldonyokumur Kata ya Muriet jijini Arusha kwa tuhuma za kumwingilia kijana wa miaka (23) kinyume na maumbile. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema kuwa polisi bado inaendelea na uchunguzi wa tukio hilo. “Hilo tukio nimesikia…

Read More

TPA TANGA YAPEWA KONGOLE NA TASAC

Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania -TASAC imeipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kutekeleza vema mradi wa uboreshaji wa bandari ya Tanga na kuwezesha meli kufunga ghatini na kuongeza asilimia 30 ya mapato ya bandari ya Tanga. Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa Bodi hiyo Nahodha Mussa Mandia wakati…

Read More

Mfahamu mrithi wa Imani Kajula Simba

Dar es Salaam. Klabu ya Simba leo imetambulisha rasmi Francois Regis kutoka Rwanda kuwa mtendaji mkuu wa klabu hiyo akirithi mikoba ya Imani Kajula aliyejiuzulu wiki chache zilizopita. Taarifa iliyotolewa na bodi ya wakurugenzi ya Simba chini ya Mwenyekiti Mohammed Dewji leo Julai 26, 2024 imefafanua kuwa Regis ataanza kuhudumu katika nafasi hiyo kuanzia Agosti…

Read More