Serikali yaeleza sababu ya kusitisha mtalaa kidato cha tano

Dodoma. Serikali imeahirisha utekelezaji wa mtaala ulioboreshwa wa kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2024/25 kutokana na changamoto za kiufundi ikiwemo kuchelewa kuchapishwa kwa nakala ngumu za vitabu. Akizungumza jana na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema kuwa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Amali ya mwaka 2023 ilipitishwa Oktoba…

Read More

RC KUNENGE- TAASISI WEZESHI ZIONDOE UKIRITIMBA KWA WAWEKEZAJI ILI KUINUA SEKTA YA VIWANDA

Na Mwamvua Mwinyi,Mkuranga Julai 26 Mkuu wa mkoani Pwani, alhaj Abubakar Kunenge amejinasibu kuwa ongezeko la viwanda mkoani humo litaongeza uzalishaji wa bidhaa na malighafi hali itakayosaidia kupunguza uagizaji wa bidhaa hizo nje ya nchi. Kutokana na mafanikio hayo, azielekeza Taasisi wezeshi kuondoa ukiritimba kwa wawekezaji badala yake watumie nafasi zao kuwaelekeza taratibu zinazotakiwa ili…

Read More

Wananchi kaskazini waitwa kutoa maoni dira ya Taifa

Arusha. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kufungua kongamano la ukusanyaji wa maoni ya wananchi kwa ajili ya maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, kesho Julai 27, 2024, katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano (AICC). Kongamano hilo la pili la kikanda, litakalofanyika Arusha likiwashirikisha wananchi wa kanda ya kaskazini, limeandaliwa na Tume ya Mipango…

Read More

Hoja kuhusu jina yaibuka shauri kuhusu Kombo

Tanga. Mahakama Kuu, Kanda ya Tanga Agosti mosi, 2024 itatoa uamuzi wa ama kumpa dhamana Kombo Twaha Mbwana au kuamua iwapo shauri alilofungua mahakamani hapo kupitia mawakili wake dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) na wenzake lina uhalali au la. Uamuzi huo utatolewa na Jaji Happiness Ndesamburo baada ya leo Januari 26, 2024 kusikiliza…

Read More

Mwarobaini kupunguza majanga migodini wapatikana

-Zege yapigwa chapuo, magogo kuzuiwa SERIKALI kupitia Wizara ya Madini, Tume ya Madini imepata mwarobaini wa kupunguza majanga kwenye migodi kwa kuwaelimisha wachimbaji wadogo kutumia zege kwenye kingo za miamba badala ya magogo. Akizungumza leo Julai 26, 2024 katika mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa Tume ya Madini kutoka Idara ya Ukaguzi wa Migodi na…

Read More