
Serikali mbioni kufanya utafiti wa chakula shuleni
Dodoma. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatarajia kufanya utafiti kuangalia uhusiano wa tatizo la utoro kwa wanafunzi na uwepo wa chakula shuleni. Akizungumza leo Ijumaa Julai 26, 2014 katika kongamano la kitaifa la utoaji wa chakula na lishe shuleni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema utafiti huo utahusisha kuangalia kiasi…