Israel yataka kuubadilisha mpango wa kusitisha vita Gaza – DW – 26.07.2024

Hatua hii inatatiza mchakato wa kufikiwa makubaliano ya mwisho ya kusitisha mapigano yanayoendelea kwa miezi tisa sasa na kusababisha uharibifu mkubwa kwenye eneo hilo.  Duru kutoka magharibi pamoja na Misri zimearifu leo kuhusiana na nia hiyo ya Israel ya kutaka kubadilisha mkondo kwenye mpango huo. Israel inasema Wapalestina waliokimbia makazi yao wanatakiwa kuhakikiwa wakati wanarejea…

Read More

Kesi ya mauaji ya mtoto Asimwe yapigwa Kalenda

Bukoba. Kesi ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2), imeahirishwa hadi Agosti 9, 2024. Kesi hiyo iliitwa leo Ijumaa, Julai 26, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba kwa ajili ya kutajwa. Washtakiwa wote tisa kwenye kesi hiyo ya mauaji namba 17740 ya mwaka 2024 walikuwepo. Mshtakiwa hao ni Padri Elipidius Rwegoshora na…

Read More

Diwani Urio ashinda unaibu Meya Kinondoni

Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, wamemchagua Michael Urio (Diwani wa Kata ya Kunduchi ), kuwa Naibu Meya Mteule wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Michael Urio ameshinda uchaguzi wa kiti cha unaibu Meya kwa kura 16 kati ya 26 za wabunge na madiwani wa kinondoni kwenye uchaguzi uliofanyika LEO. Uchaguzi huo umefanyika ikiwa…

Read More

Ligi Kigoma kuamsha Agosti 8

LIGI za Kikapu kwa mikoa mbalimbali zinazidi kushika kazi kwa sasa, huku ile ya Mkoa wa Kigoma ikitarajiwa kufanyika Agosti 8. Katibu Mkuu wa Chama cha Kikapu Kigoma, Aq Qassim Anasi, amesema kwa upande wao wamepanga ligi hiyo ianze Agosti 8 na maandalizi yanaendelea vizuri hadi sasa. Akizungumza na Mwanaspoti kwa simu kutoka Kigoma, Anasi…

Read More

Pacome aiwahi Kaizer Chiefs Sauzi

KAMA ambavyo awali Mwanaspotui liliwajulisha kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua alipewa siku tano kushughulikia pasipoti yake kabla ya kuungana na wenzake kambini Afrika Kusini, taarifa zikufikie nyota huyo tayari ameshatua huko na keshokutwa huenda akacheza dhidi ya Kaizer Chiefs. Awali Mwanaspoti lilipata taarifa, huenda Pacome angekuja moja kwa moja jijini Dar es Salaam kutoka…

Read More

WFP yatoa matumizi ya teknolojia katika maeneo kame Kenya – DW – 26.07.2024

Mabadiliko ya tabia nchi yaliyoshuhudiwa kote ulimwenguni, yamewasukuma wafugaji wengi kutoka hapa jimboni Marsabit kugeukia kilimo kama njia mbadala ya kupata chakula cha kutosheleza familia zao. Kulingana na ripoti iliyotolewa na mamlaka ya kukabiliana na majanga nchini NDMA, asilimia 75 ya mifugo waliangamia hapa Marsabit wakati wa ukame misimu miwili iliyopita. UN: Watu milioni 13…

Read More

MAHAKAMA MAFIA IMEMUACHIA HURU ALIYEKUWA DED MAFIA

Na Mwamvua Mwinyi, Mafia MAHAKAMA ya Wilaya ya Mafia imemuachia huru mshtakiwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Ndugu Kassim Seif Ndumbo baada ya kukosekana ushahidi kufuatia Kesi ya Jinai namba 15768/2024 iliyokuwa ikimkabili. Mahakama imechukua maamuzi hayo baada ya kukosekana shahidi wa mwenendo mzima wa upande wa mashtaka kwenye shauri hilo….

Read More