Kaeni kwa kutulia sasa! | Mwanaspoti

WAKATI timu za Ligi Kuu Bara zikiendelea kujifua kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano, wawakilishi wanne wa Tanzania katika michuano ya kimataifa Simba, Yanga, Azam na Coastal Union zinajiandaa kufunga hesabu za maandalizi kabla ya kuanza mchakamchaka wa mashindano ya msimu mpya. Yanga iliyopo Afrika Kusini na Azam iliyoweka kambi Morocco zitashiriki Ligi ya…

Read More

MAHAKAMA YAMWACHIA HURU ALIYEKUA DED MAFIA KASSIM NDUMBO

Na. Mwandishi Wetu, Mafia MAHAKAMA ya Wilaya ya Mafia imemuachia huru mshtakiwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Ndugu Kassim Seif Ndumbo baada ya kukosekana ushahidi kufuatia Kesi ya Jinai namba 15768/2024 iliyokuwa ikimkabili. Mahakama imechukua maamuzi hayo baada ya kukosekana shahidi wa mwenendo mzima wa upande wa mashtaka kwenye shauri hilo….

Read More

Je, Triumvirate Mpya, Urusi, Uchina & Korea Kaskazini, Italazimisha Kusini Kutumia Nyuklia? – Masuala ya Ulimwenguni

Ujumbe ulioonyeshwa kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa huko New York mnamo 2022 unatoa wito kwa Korea Kaskazini kujiunga na Mkataba wa Kuzuia Silaha za Nyuklia (TPNW). Credit: Kampeni ya Kimataifa ya Kukomesha Silaha za Nyuklia (ICAN). na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Ijumaa, Julai 26, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Julai…

Read More

Mfumo kuondoa urasimu, udanganyifu | Mwananchi

Unguja. Matumizi sahihi ya mfumo wa kidijitali wa anuani za makazi (Napa) utapunguza urasimu, udanganyifu na kuchochea kasi ya ukuaji wa uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla, imeelezwa. Hayo yamebainika wakati wa kukabidhi vifaa na uzinduzi wa majaribio ya kutoa huduma ya barua ya utambulisho wa ukaazi kupitia mfumo wa kidijitali wa anuani za…

Read More

Tausi Royals, Pazi Queens tishio

WAKATI Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikizidi  kushika kasi, kwa upande wa timu ngeni katika ligi hiyo, Tausi Royals na Pazi Queens zinaendelea kuwa tishio kwa wakongwe zinazoshiriki  ligi hiyo. Vitisho vya timu hizo inatokana na ushindi wa michezo miwili mfululizo waliopata katika mzunguko wa pili.  Katika mchezo wa kwanza,…

Read More