Kwanini Afrika inazongwa na maandamano ya vijana? – DW – 31.07.2024

Katika miezi ya hivi karibuni Nigeria imeshuhudia maandamano ya hapa na pale, ukiwemo mgomo wa chama cha wafanyakazi uliovuruga usafiri wa anga na kusababisha umeme kupotea katika maeneo mengi. Hata hivyo, maandamano yanayotarajiwa kufanyika kote nchini yanatarajiwa kuwa makubwa kabisa kushuhudiwa tangu maandamano ya mwaka 2020 yaliyoshinikiza juhudi zifanyike kuutokomeza ugonjwa wa Sars chini ya…

Read More

JKT yakomba kila kitu CDF Cup

HATIMAYE mashindano ya Mkuu wa Majeshi ‘CDF Cup’ yametamatika juzi Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, huku JKT ikiwa mshindi wa jumla wa mashindano hayo ikitawala kwa kubeba vikombe karibu kila mchezo. Mashindano hayo ambayo maalumu kwa ajili ya kuadhimisha miaka 60 ya Jeshi la Ulinzi wa Wanachi Tanzania (JWTZ) yalikuwa kwa siku 10 ambayo…

Read More

SAKATA LA KIBU: Simba yatoa sharti jipya, yataja bei

Dar es Salaam. Simba imetoa sharti gumu kwa mchezaji wake Kibu Denis na Kristiansund BK inayomhitaji ili imruhusu mshambuliaji huyo kujiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Norway. Sharti hilo ni kuitaka Kristiansund BK kulipa kiasi cha Dola 1 milioni (Sh 2.7 bilioni) ili kumnunua moja kwa moja mshambuliaji huyo vinginevyo haitokuwa tayari kumuachia…

Read More

Kocha Red Arrows aikubali Yanga

KOCHA Mkuu wa Red Arrows ya Zambia, Chisi Mbewe amesema, baada ya kupata mualiko wa kucheza na Yanga katika kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’, imekuwa ni jambo nzuri kwao, kwani wanaenda kukutana na timu imara itakayowapa changamoto mpya. Timu hiyo ambayo ni mabingwa wa Ligi Kuu ya Zambia (ZPL), itawasili muda wowote kuanzia sasa kwa…

Read More