Mapya watoto wawili waliopotea Arusha, baba atajwa

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamsaka mtu mmoja anayejulikana kwa jina moja la Maiko, ambaye ni baba wa watoto wawili wanaodaiwa kupotea wilayani Arumeru mkoani Arusha akituhumiwa kuhusika na tukio hilo. Hayo yamebainika baada ya kusambaa kwa taarifa za kupotea kwa watoto wawili, Mordekai Maiko (7) na Masiai Maiko (9), wanafunzi wa Shule ya…

Read More

KISA UTAMU WA LIGI… Walisepa, wakarudi tena Ligi Kuu Bara

LIGI Kuu Bara inazidi kukua mwaka hadi mwaka na kuendelea kuwakutanisha mastaa kutoka mataifa mbalimbali ambao wanakuja kuongeza thamani ya ligi na kutoa changamoto kwa wazawa. Dirisha la usajili likiwa bado halijafungwa timu mbalimbali za Ligi Kuu Bara, Championship na madaraja mengine zinaendelea kusajili, lakini wakongwe Simba na Yanga ndizo zinazozungumzwa sana kutokana na sajili…

Read More

Dr Mwinyi ahimiza Malezi bora katika Jamii

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj. Dk. Hussein Ali Mwinyi amehiwahimiza Wazazi na Walezi kuhakikisha wanasimamia malezi bora yenye maadili kwa watoto na vijana ili kunusuru taifa kuwa na mporomoko wa maadili. Alhaj. Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo 26 Julai 2024 wakati alipojumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika ibada ya…

Read More

Wizara yaja na mpango kukomesha uvuvi haramu

Unguja. Ili kukomesha uvuvi haramu unaotajwa kushamiri kwa kutumia nyavu ndogo, Serikali imebuni mpango mkakati wa kutengeneza boti kubwa za uvuvi na kuwapatia wananchi. Hayo yamebainishwa Julai 26, 2024 na  Waziri wa Uchumi wa Buluu, Shaaban Ali Othman katika mkutano wa pamoja kati ya viongozi wa wizara hiyo, kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa…

Read More

Matokeo ya robo ya mwisho 30 Juni 2024

JUMLA ya wateja imeongezeka kwa asilimia 8.6% hadi milioni 155.4. Upenyaji wa wateja wa data unaendelea kuongezeka, na kusababisha ongezeko la 13.4% la wateja wa data hadi milioni 64.4. Matumizi ya data kwa kila mteja yaliongezeka kwa 25.1% hadi GB 6.2, huku upenyezaji wa simu mahiri ukiongezeka kwa 4.7% hadi kufikia 41.7%.  Ukuaji wa wateja…

Read More

Ukifunga mbele ya Mbegu, we shujaa!

HUKO kwenye Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) mambo ni moto na unaambiwa eti ukifunga mbele ya mchezaji Haji Mbegu wa Dar City au Haji Mbegu wa UDSM Outsiders basi wewe lazima   utaonekana  ni shujaa katika mchezo wa mechi husika kutokana na umahiri wao wa kukaba. Mbegu anayecheza namba nne (power…

Read More

Esha Buheti alamba dili la ‘GSM Coconut Cream’, aandika haya

Ni July 26, 2024 ambapo Mwigizaji na Mjasiriamali, Esha Buheti ameingia kwenye vichwa vya habari mitandaoni baada ya kusaini mkataba mpya wa kutangaza bidhaa za GSM Coconut Cream. Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alishare picha na kuujulisha umma kwa kuandika..’ Awakushushi bali wanakuinua Alhamdulillah rasmi Mwanafamilia wa GSM sasa jiandaeni kuona utofauti mgawa riziki…

Read More

Maana ya ‘SANDA’ iliyopo jezi ya Simba SC

SABABU ya jezi za Simba kuandikwa neno Sanda zimeelezwa,wahusika wamewatoa  hofu waliozitafsiri vinginevyo, kutambua kwamba ni ubunifu walioamua kuja nao msimu ujao. Alipotafutwa Yusuph Yenga, ambaye ni msemaji wa Sandaland alisema walikaa chini na kuona msimu ujao waje kivingine na jina la Sanda ni la Sandaland mwenyewe, hivyo limefupishwa kwenye jezi. “Kuna mchakato mrefu unazingatiwa…

Read More