Dybala, Lukaku namba zilivyopishana | Mwanaspoti

ROMA, ITALIA: Supastaa Paulo Dybala, nyota wa kimataifa wa Argentina na Roma ya Italia anaujua mpira. Ndiye straika tegemeo katika kikosi cha kwanza cha Wataliano hao, ingawa linapokuja suala la timu ya taifa anasugua sana benchi. Kwa Roma, mastaa kibao wanakaa benchi wakisikilizia mwamba amalize kazi yake uwanjani ndipo waingie au anapokuwa majeruhi. Na hata…

Read More

Haya Hapa Ndio Mataifa Matatu yanayoongoza Kuwa na Idadi kubwa Zaidi za Watu Barani Afrika – MWANAHARAKATI MZALENDO

Bara la Afrika ni miongoni mwa Mabara ambayo yanayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watu Duniani. Kwa mujibu wa takwimu za Worldometer kupitia marekebisho mapya ya UN, Nigeria ina idadi kubwa ya watu barani Afrika. Kufikia 2023, nchi hiyo ilihesabu zaidi ya watu milioni 223.8, ambapo Ethiopia, ambayo ilishika nafasi ya pili, ina wakazi…

Read More

Mwakilishi afariki dunia akipatiwa matibabu India

Unguja. Mwakilishi wa viti maalumu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Panya Ali Abdalla (60) amefariki dunia akipatiwa matibabu nchini India. Akizungumza hilo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Utaratibu na Baraza la Wawakilishi), Hamza Hassan Juma amesema Serikali kwa kushirikiana na familia, inaendelea kuratibu mipango ya mazishi na kurudisha mwili…

Read More

Harris aonyesha mwelekeo tofauti juu ya mzozo wa Gaza – DW – 26.07.2024

Kamala Harris aidha amesisitiza kuwa hatosalia kimya kuhusu mateso wanayopitia Wapalestina katika ukanda huo.  Huku akionekana kutofautiana kabisa na namna Rais anayeondoka Joe Biden alivyoushughulikia mgogoro huo, kwa kuiwekea shinikizo Israel nyuma ya pazia, makamu huyo wa rais alisema baada ya kukutana na Netanyahu kwamba ni wakati wa kumaliza vita vya Gaza ambavyo vimesababisha hasara…

Read More