RAIS DK.SAMIA HANA DENI LA MAENDELEO KWA WANNCHI WA MAGU

NA BALTAZAR MASHAKA, MAGU MBUNGE wa Magu(CCM),Bonventure Kiswaga amesema serikali ya awamu ya sita imeipatia wilaya hiyo zaidi ya sh.bilioni 107.294 za miradi ujenzi wa miundombinu ya maji,barabara,madaraja na elimu. Ametoa takwimu hizo kwa nyakati tofauti katika vijiji vya Kitumba,Igekemaja,Busekwa na Kanyama vya kata za Kisesa,Bujashi na Bujora,jana wakati akihutubia wananchi katika mikutano ya hadhara…

Read More

VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA NA WAFANYABIASHARA MTWARA WAPATIWA ELIMU YA FEDHA.

Na Chedaiwe Msuya, WF, Mtwara Vikundi vya Huduma ndogo za fedha pamoja na Wafanyabiashara mbalimbali kutoka Manispaa ya Mtwara-Mikindani, wameshiriki katika mafunzo ya utunzaji fedha yaliyoandaliwa na Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Taasisi za Fedha pamoja na Ofisi ya Rais-TAMISEMI. Mafunzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Ualimu Mtwara, na kushirikisha wafanyabiashara na…

Read More

SPIKA TULIA AMUAPISHA MBUNGE BALOZI KOMBO DAR

Na Andrew Chale, Dar es Salaam. SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Tulia Ackson amemuapisha Balozi Mahmoud Thabit Kombo kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo za Bunge, jijini Dar es Salaam. Balozi Kombo ameapishwa leo Alhamisi Julai 25, 2024, Ofisi hizo huku akiambatana na familia…

Read More

VODACOM YAZINDUA KAMPENI KABAMBE “NI BALAAA” KILA MTU NI MSHINDI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Dar es Salaam: Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano Vodacom Tanzania Plc leo imezindua kampeni kabambe inayojulikana kama “Ni Balaaa” ikiwa na lengo la kuwanufaisha wateja wake na jamii nzima kiujumla. Kampeni hii kubwa na ya kitaifa inalenga kunufaisha watanzania wengi ambapo kutakuwa na washindi wa kila siku, wiki, mwezi na washindi watano wa zawadi kuu…

Read More

Uwayezu Francois CEO mpya Simba SC

Uongozi wa Simba umemtangaza Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, akichukuwa nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwishoni mwa mwezi huu. Francois, alikuwa Makamu Mwenyekiti wa APR ya Rwanda na amewahi pia kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Soka cha Rwanda (FERWAFA). Hii itakuwa ni mara ya…

Read More

‘Ni Balaaa’ Kila Mtu ni Mshindi.

“Kampeni ya Ni Balaaa inalenga kuwazawadia wateja wetu kila wanaponunua kifurushi (bando) au kufanya miamala kupitia M-Pesa na pia kutoa nafasi kwa washindi wa zawadi kuu, kupendekeza Shule za Msingi katika Jamii zao na Vodacom Tanzania itafanya maboresho katika maktaba za shule hizo kama vile kuwapatia vitabu, makabati ya kuhifadhia vitabu na samani za kusomea”,…

Read More