Sh486 milioni kujenga daraja Mto Isenga

Songwe. Hatimaye daraja la Mto Isenga lililopo wilayani Ileje Mkoa wa Songwe limeanza kujengwa kwa gharama ya Sh486 milioni, huku likitarajiwa kurahisisha usafiri kwa wananchi katika vijiji 71 zilivyomo wilayani humo. Akizungumzia ujenzi huo leo Alhamisi Julai 25, 2024, Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura) wilayani humo, Asamisye Pakibanja amesema ujenzi…

Read More

Balozi Kombo aapishwa kuwa Mbunge

Dar es Salaam. Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson amemuapisha Balozi Mahmoud Thabit Kombo kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku akieleza kwa nini ameapishiwa jijini Dar es Salaam. Balozi Kombo ameapishwa leo Alhamisi Julai 25, 2024, Ofisi Ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam ikiwa ni siku tano…

Read More

Mkurugenzi wa zamani TPA, wenzake wataka upelelezi dhidi yao uharakishwe

Dar es Salaam. Washtakiwa sita katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA), Madeni Kipande na wenzake, wameiomba Mahakama ielekeze upande wa mashtaka ukamilishe upelelezi kwa kesi hiyo haraka kwa kuwa ni ya muda mrefu. Kipande na wenzake, wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kuisababishia mamlaka hiyo hasara ya Dola…

Read More

Sababu Kanda ya Ziwa kuwa kinara wizi wa watoto

Dar es Salaam. Kanda ya Ziwa inakabiliwa na matukio ya wizi wa watoto, ripoti mpya imebainisha. Ripoti ya takwimu za uhalifu na usalama barabarani ya mwaka 2023 iliyochapishwa na Jeshi la Polisi Tanzania kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), inaonyesha kuwa mikoa 40 ya kipolisi nchini ilisajili jumla ya matukio 73 ya wizi wa…

Read More

Ujio wa ODM serikalini, mtihani mpya kwa Gachagua

Nairobi. Wakati Rais William Ruto akishika madaraka, naibu wake Geofrey Rigathi Gachagua alikuwa na nguvu na hakutaka kabisa kusikia wapinzani wakitaka mazungumzo na bosi wake. Miongoni mwa kauli za majigambo zilizowahi kutolewa na Gachagua ni “Acha kazi ya kumlinda Rais kwangu. Ikiwa mtu yeyote atajaribu kukaribia Ikulu, nimeweka mitego kwenye kila njia inayowezekana wangechukua. Hakuna…

Read More