Kufungwa Ziwa Tanganyika: Wavuvi wasimulia wanayoyapitia

Kigoma/Katavi. Zikiwa zimepita siku 67 tangu kufungwa kwa Ziwa Tanganyika, baadhi ya wavuvi na wafanyabiashara wameeleza machungu wanayopita, huku wakiishauri Serikali kudhibiti uvuvi haramu katika ziwa hilo litakapofunguliwa Agosti 15, 2024. Ziwa Tanganyika linazunguka mikoa mitatu ya Kigoma, Rukwa na Katavi na kufanya Tanzania kulimiliki kwa asilimia 41 sawa na kilometa za mraba 13,489 kati…

Read More

Exim Bank yachangia vitanda kwa Kituo cha Afya TangaTanga

Exim Bank Tanzania imetoa jumla ya vitanda na magodoro 21 vya wagonjwa kwa kituo cha afya cha Mwakidila kilichopo jijini Tanga, mchango ambao umetatua kikamilifu tatizo la upungufu wa vitanda vya wagonjwa katika kituo hicho.  Makabidhiano hayo, ambayo yamefanyika mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mh. Balozi Dkt Batilda Burian, ni sehemu ya juhudi…

Read More

Watoto wawili wa familia moja wapotea Arusha

Arusha. Watoto wawili wa familia moja wamepotea katika mazingira ya kutatanisha mkoani Arusha, baada ya kuaga wanakwenda shule jana Julai 24, 2024, lakini hawakurudi nyumbani na mpaka leo hawajaonekana popote. Watoto hao wanaosoma Shule ya Msingi Olosiva, wilayani Arumeru, wamedaiwa kupotea baada ya kupandishwa kwenye daladala wakielekea shuleni, lakini hawakufika shule na wala hawakurudi nyumbani….

Read More