Korosho Cup kuanza kutimua vumbi Agosti Jimbo la Lulindi

Na Mwandishi Wetu LIGI soka ya Korosho Cup Cup inatarajia kuzinduliwa Agosti 10 mwaka huu katika Jimbo la Lulindi, Masasi, mkoani Mtwara huku zawadi nono zikitangazwa kwa washindi. Mwandaaji na Mdhamini wa ligi hiyo ambaye ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Utalii 255 Community, Angelina Malembeka, amesema, bingwa atazawadiwa pikipiki ya magurudumu matatu maarufu kama guta…

Read More

UJIRANI MWEMA HIFADHI YA SAADANI WAZIDI KUZAA MATUNDA

Na Catherine Mbena /Saadani. Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) ikiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi, Jenerali (Mstaafu) George Marwa Waitara, jana Julai 24, 2024 ilitembelea Hifadhi ya Taifa Saadani kwa ajili ya kukagua utendaji kazi ambapo ilipata fursa ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya hifadhi hiyo….

Read More

WALIMU WATATU, MWANAFUNZI NA MUUGUZI KIZIMBANI KWA KUIBA MITIHANI.

MWANDISHI WETU, KAHAMA Walimu watatu na mwanafunzi mmoja wa shule ya Sekondari Lunguya iliyopo Halamshauri ya Msalala mkoani Shinyanga, Pamoja na Muunguzi mmoja wamepandishwa kizimbati katika Mahakama ya Wilaya ya Kahama kwa kuhusika na wizi wa mitihani ya kitato cha nne iliyofanyika Novemba 2023. Washtakiwa hao ni pamoja na Muuguzi Lucy Maganda(39) aliyekuwa akirudia mitihani,…

Read More

TAASISI YA NELSON MANDELA KUJENGA CHUJIO LA MAJI NGARENANYUKI KUPUNGUZA ATHARI ZA MADINI YA FLORIDE

Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti na Ubunifu kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Revocatus Machunda akiongea na wanakijiji wa Ngarenanyuki wakati wa maonyesho ya awali ya Nanenane. Wanafunzi , wakulima na Wananchi wa Kata ya Ngarenanyuki wakiangalia bidhaa mbalimbali za kilimo katika maonesho ya awali ya Nanenane. Mkurugenzi wa…

Read More

Tafori yaanika fursa kupitia misitu na Nyuki

Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) imewasisitiza Watanzania kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya Misitu na Nyuki, kwa kuwekeza katika misitu na kushiriki katika ufugaji nyuki kwa kuzingatia njia sahihi zilizofanyiwa utafiti ili wapate tija katika rasilimali za misitu zilizopo nchini. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Utafiti wa Matumizi ya Misitu Dkt. Chelestino…

Read More

Dabo atangaza vita mpya | Mwanaspoti

Azam FC kesho inatarajiwa kushuka tena uwanjani kwa ajili ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Union Touarga ya Morocco, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Youssouph Dabo akisema licha kuendelea kuwepo nchini wakati kikosi hicho kikiwa kambini nchini huko kwa ajili ya maandalizi ya msimu (Pre season), bado haitoathiri programu walizoziandaa akishirikiana na…

Read More

Simba yaipiga bao Yanga kwa kiungo

BAADA ya watani wa jadi kugombania saini ya kiungo wa JKT Queens, Amina Bilal hatimaye Simba Queens imefanikiwa kuizidi akili Yanga Princess na kumnasa mchezaji huyo kwa mkataba wa mwaka mmoja. Amina aliwahi kuwa nahodha wa Yanga, iliyomnasa akitokea Msimbazi, kabla ya msimu uliopita kujiunga na JKT Queens. Awali Yanga ilikuwa ya kwanza kukamilisha karibu…

Read More