Maxime anaandaa Dodoma Jiji ya mastaa

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime amesema anaendelea kukisuka kikosi chake kuwa bora na kutoa ushindani mkubwa msimu ujao, huku akitaka kuona kila mchezaji ndani ya kikosi hicho anakuwa staa. Katika maandalizi ya timu hiyo kuelekea msimu ujao, tayari imecheza mechi tatu za kirafiki ikianza na Pamba na kushinda bao 1-0, ikaichapa Singida Black…

Read More

Mtatiro na mwenzake watoa angalizo uchaguzi wa TLS

  WAKATI Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, ukitarajiwa kufanyika kesho Ijumaa na kumpata Rais wa kukiongoza chama hicho miaka mitatu, wakili Julius Mtatiro na Ally Kileo wamewachambua kwa undani wagombea hao sita. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Mawakili hao wanaogombea kwenye uchaguzi huo ni pamoja na Boniface Mwabukusi, Ibrahim Bendera,…

Read More

RAYVANNY AIBUKIA DEEDS MAGAINE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Muziki wa Tanzania unaendelea kuvuma kimataifa kupitia juhudi za wasanii wa Bongofleva, ambapo Rayvanny, staa wa Next Level Music, amejipatia nafasi ya kuonekana kwenye jarida maarufu la Afrika, ‘Deeds Magazine.’ Jarida hili linaangazia vipaji na ubunifu kutoka Nigeria na Afrika kwa ujumla. ‘Deeds Magazine,’ imemtaja Rayvanny kama Msanii bora wa kidijitali, akieleza maono yake ya…

Read More

Mchungaji anayedaiwa kuua aendelea kusota mahabusu

Mwanza. Upelelezi wa shauri la mauaji linalomkabili Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assembly of God (T.A.G) lililopo Buhongwa jijini Mwanza, Ernest George (37) haujakamilika. Akisoma shtaka hilo lenye kesi namba 19830/2024 leo Jumatano Julai 31, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza mbele ya Hakimu wa mahakama hiyo, Stella Kiama, Wakili wa Serikali,…

Read More

Pamba sasa mambo yameiva | Mwanaspoti

KIPA mkongwe kwenye Ligi Kuu Bara, Shaban Kado amesema maandalizi yanayofanywa na Pamba Jiji ni ishara ya timu hiyo kutaka kufanya vizuri kwenye michuano hiyo na kutotaka mazoea ya timu zinazopanda daraja kushuka mwishoni mwa msimu. Kado ambaye ni msimu wake wa pili Pamba Jiji baada ya kuipandisha Ligi Kuu na kuongezewa mwaka mmoja, alisema…

Read More

UVCCM ni kiunganishi cha vijana

Katibu Mkuu wa Uvccm Jokate Mwegelo amekagua Uwanja wa New Amaan Complez Kuelekea Kampeni ya kijana na Kijani ambayo mgeni Rasmini anatarajiwa kua Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Baada ya kuizindua Kampeni hiyo upande wa Tanzania Bara katika Uwanja wa Mkapa Studium Kampeni hiyo ya Kijana ni Kijani imelenga kuwaunganisha vijana…

Read More

TUTUMIE VIPAUMBELE HIVI KUKABILI UHABA WA WATUMISHI WA AFYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile, ametoa mapendekezo manne ya kupunguza uhaba wa wataalamu wa afya nchini Tanzania. Katika kumbukizi ya Hayati Benjamin Mkapa, Dk Ndugulile alisisitiza matumizi ya mwongozo wa wataalamu kujitolea, kutoa kipaumbele cha ajira kwa waliojitolea, matumizi ya sayansi na teknolojia, na kuanzisha kada mpya ya ‘family medicine’. Hii inatokana na uhaba…

Read More