NEC: KAGERA, GEITA WATAKIWA KUTUNZA VIFAA VYA UBORESHAJI

Washiriki wakifatilia hotuba ya ufunguzi. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhamiaji ,Erasmi Francis akitoa mada kuhusu uraia wakati wa mafunzo hayo. Washiriki wakifuatilia mada Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk (katikati) akiwa na Wajumbe wa Tume kutoka kushoto, Mhe. Dkt. Zakia Mohamed Abubakar, Mhe. Magdalena Rwebangira…

Read More

Alaf Yakabidhi Mabati Ya Sh. Milioni 35 MOI

Ofisa Mawasiliano na Uhusiano wa ALAF Limited (Tanzania), Theresia Mmasy (wa tatu kushoto) akipeana mkono na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo, Dkt. Antony Assey (wa pili kushoto) wakati akikabidhi msaada wa mabati yenye thamani ya milioni 35 kwa ili kusaidia ukarabati wa Kitengo Cha Wagonjwa wa Nje (OPD) na…

Read More

Ashikiliwa na Polisi akituhumiwa kutapeli Sh6 milioni

Unguja. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia mtuhumiwa Marco Daud Zagamba (32) mkazi wa Mbweni kisiwani humo kwa tuhuma za kujipatia Sh6 milioni kwa njia za udanganyifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 25, 2024 ofisini kwake Madema, Kaimu Kamanda wa mkoa huo, Abubakar Khamis Ally amedai kuwa mtuhumiwa huyo amewatapeli watu watano…

Read More

Tanzania Kuwa Mwenyeji Mkutano Wa Kimataifa Wa Barabara

  Afisa Tawala wa Chama cha Wataalamu wa Barabara (TARA), Anna Nkoma, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Julai 24,2024 kuhusu kongamano la tisa kuhusu usafiri endelevu litakaloanza Jumatatu ijayo jijini Arusha. Na Mwandishi Wetu TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Kongamano la tisala Kimataifa la Usafiri Endelevu na Ubunifu Bora ambao umeandaliwa…

Read More