Tepsie Evans, apewa nafasi ya mwisho Azam FC

KIKOSI cha Azam FC kinaendelea kujifua mjini Morocco na kesho Jumamosi kitashuka tena uwanjani kucheza mechi ya pili ya kirafiki ya kimataifa baada ya awali kuifunga Us Yacoub Mansour mabao 3-0. Azam iliyoweka kambi hiyo ya kujiandaa na msimu mpya wa mashindano itacheza mechi kesho saa 2 usiku dhidi ya Union Touarga  kabla ya Jumatatu…

Read More

Mashujaa vita vya Kagera wasimulia waliyopitia hadi kushinda

Bukoba. Wakati Tanzania ikiadhimisha Siku ya Mashujaa leo Julai 25, 2024, mashujaa waliopigana vita vya Kagera dhidi ya utawala wa Idd Amin wa Uganda, wamesimulia walivyolipigania Taifa, huku wakiwahimiza vijana waliopo jeshini kufuata nyayo zao katika kulinda amani ya nchi. Vita kati ya Tanzania na Uganda ilipigana mwaka 1978 hadi 1979 ikianzia katika Mkoa wa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI:Haitopendeza Coastal ikimtimua Ouma

KUNA tetesi Coastal Union inafikiria kuachana na kocha wao wa sasa, Francis Ouma na kisha nafasi yake ichukuliwe na kocha mmojawapo wa timu ya Ligi Kuu. Kufanya vibaya kwa timu hiyo kwenye mashindano ya Kombe la Kagame yaliyomalizika wiki iliyopita kunatajwa kuchangia ushawishi wa uamuzi wa kutaka kumtimua. Hata hivyo, inaripotiwa amepishana na vigogo baadhi…

Read More

Anayetuhumiwa kumuua mkewe, adai mke yu hai

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamuru mshtakiwa Hamisi Luongo, anayetuhumiwa kumuua mkewe kisha kuteketeza mwili kwa moto kwa kutumia gunia zima la mkaa, akafanyiwe uchunguzi wa afya ya akili. Awali, kabla Mahakama haijatoa amri hiyo, mshtakiwa alipinga hoja ya upande wa mashtaka ya kufanyiwa uchunguzi, akidai hayuko tayari kwenda huko…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Saluti nyingi kwa Maxi Nzengeli

SIKU moja kwenye ukurasa huu wa akili za kijiweni niliandika kitu kuhusu Maxi Mpia Nzengeli jinsi nilivyomuona kama usajili muhimu kwa Yanga tangu ilipomnasa. Muonekano wake akiwa hajavaa jezi unaweza kukufanya ukamdharau na kudhani hana uwezo na kipaji cha soka lakini anapokuwa uwanjani huwa ni mwanadamu mwingine. Ni mchezaji ambaye ana nishati ya kutosha inayomfanya…

Read More