
Amnesty yapendekeza vikwazo zaidi vya silaha Sudan – DW – 25.07.2024
Katika ripoti yake kuhusu silaha zinaendelea kuongezeka katika nchi hiyo iliyokumbwa na vita, shirika hilo limesema vita nchini Sudan kati ya jeshi na wanamgambo cha RSF vinachochewa na usambazaji wa silaha usiozuiliwa na washirika kutoka sehemu nyengine duniani wanaounga mkono pande zinazohasimiana nchini humo. Soma pia: Marekani yaandaa mazungumzo ya kusitisha mapigano Sudan Ripoti hiyo mpya…