Kissenge atamani huduma ya intaneti ipatikane kila kijiji

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mipango na Uhandisi Kampuni ya Huduma ya Mawasiliano ya Tigo, Semvua Kissenge amesema huduma ya mtandao wa intaneti inapaswa kufika maeneo yote ikiwemo vijijini ili wananchi wapate maendeleo ya haraka kama wenzao waliopo mijini. Amesema intaneti ina nafasi kubwa katika maendeleo ya nchi, hivyo inapaswa kuwafikia watu wote kwa ajili…

Read More

NI WAO TU: Simba njia nyeupe nusu fainali CAF

DROO ya makundi ya michuano kwa Klabu Bingwa kwa Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati(CECAFA) imefanyika juzi, huku wawakilishi wa Tanzania, Simba Queens ikipangwa kundi linaloonekana mchekea linaloipa nafasi kubwa ya kutinga nusu fainali ya kusaka tiketi ya kushiriki Klabu Bingwa Afrika kwa mara ya pili. Michuano hiyo kwa msimu huu itafanyika Addis…

Read More

MHA. SEFF AMTAKA MKANDARASI UJENZI WA BARABARA YA KASULU-KABANGA-MUYAMA KUMALIZA KAZI KWA WAKATI

Na Buhigwe, Kigoma. Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amemtaka Mkandarasi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Kasulu-Kabanga-Muyama yenye urefu wa Km. 12.5, Salum Motors Transport Ltd (SAMOTA) kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo kwa muda uliopangwa. Mhandisi Seff ameyasema hayo wakati wa ziara ya ukaguzi wa…

Read More

DMI YASHIRIKI MAONESHO YA VYUO VIKUU TANZANIA VISIWANI PEMBA

CHUO Cha Bahari Dar es Salaam ni miongoni mwa taasisi mbalimbali za serikali na binafsi katika Maonesho ya Vyuo Vikuu Tanzania yanayoendelea katika viwanja vya Gombani – Pemba. Maonesho hayo ni mfululizo wa maonesho ya vyuo vikuu yanayoandaliwa na kuratibiwa na NACTVET ambapo mwaka huu 2024 yalianzia jijini Arusha kufuatiwa Unguja na sasa kuhitimishwa katika…

Read More

Josiah, Choki waachiwa msala Geita Gold

Geita Gold imethibitisha kumalizana na Amani Josiah kuwa kocha mkuu wa timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuendelea kama ataipandisha Ligi Kuu, huku Choki Abeid akiwa msaidizi wake. Geita inayojiandaa na Ligi ya Championship baada ya kushuka daraja imeshinda vita ya kumpata Amani Josiah aliyekuwa anawaniwa na Stand United, Biashara na…

Read More

Wawili waliohukumiwa kunyongwa kwa kuua waachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imewaachia huru Simon Gabriel na Sagenda Bugalama, waliokuwa wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua William Musa. Simon na Sagenda, walihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza Agosti 14, 2020 katika kesi ya mauaji iliyokuwa ikiwakabili. Katika kesi hiyo, Simon, Sagenda na mwenzao Manyumba Magiki…

Read More

MOURINHO ASHUSHA WANNE FENERBAHCE – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Kocha mpya wa Klabu ya Uturuki ya Fenerbahce Jose Mourinho ameendelea kukiimarisha kikosi chake ili kuipa Galatasaray ushindani mkali baada ya kuwasajili nyota wanne wenye uzoefu mkubwa watakaoipiga jeki timu hiyo katika mashindano mbalimbali.   Miongoni mwa maingizo mapya ndani ya Fenerbahce ni pamoja na nyota wa Morocco Youssef En-Nesyri, aliyejiunga nao kutoka Sevilla…

Read More

ZAIDI YA WAGENI 2000 KUSHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA WAHASIBU WAKUU WA SERIKALI BARANI AFRIKA

Na.Vero Ignatus,Arusha Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano mkuu wa kimataifa wa wahasibu,wakaguzi wa hesabu,wataalam wa masuala ya fedha,Tehama,vihatarishi na kada nyingine wakiwemo walioajiriwa serikalini,kampuni binafsi pamoja na waliopo katika ajira binafsi. Akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Aicc Jijini Arusha Mhasibu Mkuu wa serikali CPA Leonard Mkude amesema kuwa mkutano huo…

Read More