Makocha Pamba Jiji wabebeshwa mzigo

WAKATI Pamba Jiji ikizindua wiki ya tamasha lake litakalofanyika Agosti 10, mwaka huu katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, Mlezi wa timu hiyo, Said Mtanda alisema Kocha Goran Kopunovic na wasaidizi wake walipewa uhuru kwenye usajili na matokeo yakiwa mabaya wataulizwa. Pamba Day itanogeshwa na burudani mbalimbali ikiwemo mchezo wa kirafiki na timu ambayo itatajwa…

Read More

Jamaa ajifanya usalama feki na kutapeli ZNZ

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia mtuhumiwa Marco Daud Zagamba (32) wa Mbweni Zanzibar kwa kosa la Kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu ambapo aliwatapeli wananchi watano na kujipatia fedha taslim shilingi 6,000,000 (Miioni Sita). Mtuhumiwa huyo kwa nyakati tofauti aliwatapeli wananchi kwa kujifanya yeye ni mtumishi wa umma na kwamba atawasaidia kuwapatia…

Read More

Ze Kick: MANGALO, Kitasa kinachosubiri simu ziite

MARA kadhaa amekuwa akihusishwa na vigogo wa soka nchini, Simba na Yanga, japo mara zote dili za kwenda klabu hizo zilikuwa zikiishia njiani. Kwa mfano kwa sasa amekuwa akitajwa huenda akatua Yanga baada ya dirisha dogo lililopita kutajwa sana na miamba hiyo wakati akiwa Singida Fountain Gate, ikielezwa anatakiwa kwenda kuchukua nafasi ya Gift Fred….

Read More

HIZI HAPA ADA ZA UKAGUZI WA VYOMBO VYA MOTO – MWANAHARAKATI MZALENDO

JESHI la Polisi kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani limetoa taarifa kuujuza umma kuhusu ada zinazotozwa kwaajili ya ukakuzi wa vyombo vya moto mbalimbali hapa nchini. Pikipiki ni Tsh 2,000, Bajaji Tsh. 2,000, Magari madogo Tsh. 5,000 na Magari Makubwa ni Tsh. 7,000/= Cc; Police Force (Mtandao ‘X’) Powered by @kobemotor @acbtanzania_ @vodacomtanzania @hisense_tanzania_official @betpawatanzania…

Read More

Angalia hapa majina ya ajira mpya serikalini

Dar es Salaam. Sekretarieti ya Ajira imewaita waliofanikiwa kupata ajira mpya serikalini kuchukua barua za kupangiwa vituo vya kazi. Tangazo hilo limetolewa jana Jumatano Julai 24, 2024 na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira, huku likibainisha ni wale waliofanya usaili kati ya Januari 15, 2023 hadi Juni 21, 2024 na wengine waliokuwa kwenye kanzidata. “Katibu wa…

Read More

TAASISI YA UTAFITI WA MISITU TANZANIA ( TAFORI) YAWASIHI WATANZANIA KUENDELEA KUWEKEZA KWENYE MISITU.

Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) imewasisitiza Watanzania kuwekeza katika misitu na kushiriki katika ufugaji nyuki kwa kuzingatia njia sahihi zilizofanyiwa utafiti ili wapate tija katika rasilimali za misitu zilizopo nchini. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Utafiti wa Matumizi ya Misitu Dkt. Chelestino Balama wakati akiongea na baadhi ya timu ya wataalamu wa…

Read More

KAJULA: Siku 948 mataji mawili

JANUARI 26, 2022 Simba ilimtangaza Imani Kajula kuwa ofisa mtendaji mkuu (CEO) wa klabu alikichukua nafasi ya Barbara Gonzalez aliyejiuzulu Desemba 10, 2021. Hadi mwisho wa mwezi Agosti , mwaka huu, ndio siku ambayo ataachia ngazi katika nafasi hiyo atakuwa ametimiza siku 913 tangu ashike nafasi iliyoachwa na Barbara, huku akishindwa kufikia mafanikio yaliyofikiwa na…

Read More