
SPOTI DOKTA: Huu ni muda wa kupimana afya
WIKI mbili zilizopita barani Ulaya Euro 2024 ilimalizika na bingwa ilikuwa Hispania wakati Copa Amerika 2024 ilikwisha na bingwa ni timu ya taifa ya Argentina. Mara baada ya hekaheka hizo zilizokuwa na upinzani mkali kumalizika hivi sasa ni kipindi cha kuwageukia wachezaji wanaohama kutoka klabu moja kwenda nyingine. Wengi wao ni wale ambao katika mashindano…