JESHI LA ZIMAMOTO TANGA WAJA NA PROGRAMU ZA KUELIMISHA UMMA NAMNA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO

  Na Oscar Assenga,TANGA JESHI la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Tanga wameanzisha program mbalimbali za kuielimisha Umma kuweza kuwa na utambuzi ili majanga ya moto yanapotokea waweze kukabiliana nayo. Hayo yalibainishwa leo na Afisa Operesheni wa Jeshi hilo mkoani Tanga Mrakibu Msaidizi wa Jeshi hilo Yusuf Msuya wakati akizungumza na kuhusu namna walivyojipanga kukabiliana…

Read More

DKT. TAX AKUTANA NA KAIMU NAIBU WAZIRI WA MAREKANI

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb), akisalimiana na Kaimu Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Siasa wa Marekani Mhe. John Bass alipokutana naye kwa mazungumzo katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena…

Read More

Aweso aagiza mhandisi Moruwasa asimamishwe kazi

Morogoro. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, ameiagiza Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mkoani Morogoro (Moruwasa) kumsimamisha kazi Mkuu wa Kitengo cha Ufundi, Thomas Ngulika, kwa tuhuma za kusema uongo kuhusu sababu za baadhi ya maeneo ya Manispaa ya Morogoro kukosa maji. Aweso ametoa agizo hilo leo Jumatano, Julai 24, 2024,…

Read More

Sh bilioni 7 zaing’arisha Kata ya Kivule

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya Sh bilioni 7 zimetumika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika Kata ya Kivule iliyopo Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kipindi cha mwaka 2020 hadi Juni 2024. Fedha hizo zimetolewa na Serikali Kuu na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia mapato yake ya ndani….

Read More

Watatu wadakwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Tabora

Tabora. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linawashikilia watu wawili wakituhumiwa kwa mauaji ya mfanyabiashara Magreth Mwaviombo, aliyeuawa Julai 13, 2024 kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali. Hayo yamebainishwa leo Jumatano Julai 24, 2024 na Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Richard Abwao akisisitiza kuwa jeshi hilo halijalala. Amesema, “kutokana na tukio la mauaji lililotokea…

Read More

ACT-Wazalendo yapaza sauti hali ngumu ya maisha

Dar es Salaam. Kupanda bei za bidhaa, utitiri wa kodi, tozo, ushuru na mazingira magumu ya kujipatia kipato ni mambo ambayo Chama cha ACT-Wazalendo kimeeleza kusikitishwa nayo kutokana na namna wananchi wanavyoumia. Viongozi wa chama hicho wameeleza hayo kwa nyakati tofauti kwenye mikutano waliyoifanya katika mikoa ya Mwanza, Dodoma, Simiyu, Kigoma na Ruvuma wakiwa kwenye…

Read More