Mwili wa mwanamke wakutwa ukielea bwawani

Songwe. Mwili wa mwanamke mmoja ambaye hajafahamika, umekutwa ukielea katika Bwawa la Mbimba, linalotumika kwa shughuli za umwagiliaji kando ya Barabara ya Tanzania – Zambia wilayani Mbozi, Mkoa wa Songwe. Mwili huo umekutwa umeharibika na uliopolewa jana Jumanne Julai 30, 2024 jioni na haijulikani mwili huo kama umetupwa au mtu huyo alitumbukia mwenyewe bwawani humo….

Read More

DKT. Biteko amfariji Halima Mdee

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisaini kitabu cha maombolezo kwenye msiba wa Theresia Mdee, Mama mzazi wa Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Halima Mdee leo Julai 31,2024. Dkt. Biteko amefika na kumfariji Mhe. Halima Mdee kufuatia msiba huo uliotokea tarehe 30 Julai, 2024 katika hospitali ya Benjamin Mkapa alipokuwa…

Read More

FAINI YA TZS 104 KWA WANAOTUMIA MIUJIZA KUWATAPELI WANANCHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Serikali ya Kenya inapanga kuwachukulia hatua kali viongozi wa kidini wanaotumia udanganyifu kufanya miujiza, uponyaji, au kutoa baraka ili kuwaibia raia. Mapendekezo haya, yakipitishwa, yatamlazimisha kiongozi wa kidini kulipa faini ya Ksh. 5 milioni (TZS milioni 104.7) au kifungo cha miaka kumi gerezani, au vyote viwili. Kikosi Kazi cha Rais kuhusu Mapitio ya Mfumo wa…

Read More

WAZIRI JAFO APONGEZA UWEKEZAJI KIWANDA CHA SUKARI KILOMBERO

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,akikagua kiwanda cha sukari Kilombero kilichopo mkoani Morogoro mara baada ya kutembelea kiwanda hicho leo Julai 31,2024. Na Mwandishi Wetu, MOROGORO Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo leo ameupongeza uongozi wa kiwanda cha sukari Kilombero kilichopo mkoani Morogoro kwa uwekezaji mkubwa na kwasasa kinafanyiwa upanuzi mkubwa…

Read More

Dk Ndugulile ataja maeneo manne kukabili uhaba watumishi wa afya

Dar es Salaam. Mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile ameshauri mambo manne yanayoweza kusaidia kupunguza uhaba wa wataalamu katika maeneo mbalimbali ya kutolea huduma za afya nchini Tanzania.Maeneo aliyoshauri ni kutumia mwongozo wa wataalamu kujitolea, kutoa kipaumbele cha ajira kwa waliojitolea, matumizi ya sayansi na teknolojia na kuanzisha kada mpya ya ‘family medicine’.Ametoa ushauri huo…

Read More

PAULINE: Kulea, kucheza soka si mchezo

KAMA ulikuwa unajua kuwa mchezaji wa kike akibeba ujauzito na kujifungua kiwango chake kinashuka uwanjani basi sio kweli ni wewe mwenyewe tu juhudi zako mazoezini. Hilo analithibitisha Golikipa wa Baobab Queens, Jeanne Pauline Umuhoza (33), raia wa Rwanda ambaye baada ya kupata mtoto alirudi kiwanjani na kukiwasha kama ilivyo awali. “Wengine wanakuwa wavivu ti lakini…

Read More