Tanzania, Marekani kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa haki

Dar es Salaam. Tanzania na Marekani zimekubaliana kuendelea kuimarisha uhusiano katika masuala ya siasa na hasa katika uchaguzi ili kuhakikisha wananchi wanatumia haki yao kuapata viongozi wanaowataka. Hayo yameelezwa leo Julai 24, 2024 na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anashughulikia masuala ya siasa wa Marekani, John Bass aliyekuwa na ziara ya siku tatu katika…

Read More

Ukosefu wa rutuba ya udongo watatiza wakulima Afrika – DW – 24.07.2024

Afrika ina asilimia 65 ya ardhi yenye rutuba ambayo haijalimwa iliyosalia kote duniani. Licha ya ukweli huo, benki ya maeneleo ya Afrika inabainisha kuwa bara hilo linatumia karibu dola bilioni $60 kila mwaka kununua chakula kutoka nje.Wadau wajadili kilimo cha kulinda mazingira mjini Kampala Matumizi hayo yanatarajiwa kuongezeka hadi kufikia dola bilioni $110 utakapofika mwaka…

Read More

Mapya yaibuka kesi ya mirathi ya Hans Poppe

BAADA ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Z. H. Poppe Limited , Caeser Hans Poppe na mwanae Adam Caeser HansPoppe, kujisalimisha wenyewe Mahakama Kuu iliyopo katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia (IJC), Temeke. Watoto wa Zacharia Hans Poppe, wamewasilisha maombi katika mahakama hiyo, wakiomba mambo matano likiwemo la wakurugenzi hao kuwasilisha…

Read More