Tanzania kujifunza mbinu za kijeshi kutoka China

Dar es Salaam. Tanzania inatarajia kujifunza mbinu za kijeshi kutoka China kuanzia mwishoni mwa wiki baada ya kupokea meli tatu zenye wanajeshi kutoka Taifa hilo. Wanajeshi hao wamekuja nchini kushiriki mazoezi ya pamoja kati ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Ukombozi la Watu wa China, ikiwa ni sehemu ya…

Read More

Mambo yametibuka…. Filamu ya Kibu na Simba iko hivi

SAKATA la kiungo mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis aliyezua utata baada ya kudaiwa kutimkia nchini kimyakimya kwenda Norway ni kama filamu flani hivi kwa namna alivyowapiga chenga mabosi wake waliomtaka kuwahi kambini Misri ilipo timu hiyo ikijiandaa na msimu mpya. Hata hivyo, taarifa zinasema kilichofanywa na Kibu kilikuwa kikifahamika kwa baadhi ya viongozi ila wamezuga…

Read More

Viongozi wa dini wakemea vitendo vya kikatili kwa watoto

Viongozi wa dini wametakiwa kuwa mfano na kinara katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia hasa kwa watoto katika jamii inayowazunguka Ili kuhakikisha havitokei katika maeneo Yao. Wito huo umetolewa na Nabii Nicolaus Suguye wakati alipokuwa katika ziara ya kutembelea vituo viwili vya kulelea watoto yatima vilivyopo mkoani Morogoro ambapo ametembelea vituo mbalimbali kama…

Read More

Israel yaanzisha mashambulizi mapya Gaza – DW – 24.07.2024

Mashambulizi  mapya yaliyoanzishwa na Israel yameyaangamiza makazi ya miji iliyo mashariki mwa Khan Younis, kusini mwa Gaza. Wakaazi wanasema, maelfu ya watu wamelazimika kukimbilia magharibi mwa eneo hilo ili kutafuta mahali pa kujisitiri. Jeshi hilo limefanya pia mashambulizi ya anga katika maeneo kadhaa katikati na Kaskazini mwa Gaza ikiwemo katika kambi ya wakimbizi ya Al-Bureij….

Read More

Kamala Harris abadilisha upepo wa Trump

Mara baada ya mdahalo kati ya Donald Trump mgombea urais wa Republican na Rais Joe Biden wa chama Marekani cha Democrat na jaribio la mauaji ya Trump, ilionekana dhahiri chama cha Democrat kilianza kuelemewa kuelekea uchaguzi mkuu wa Novemba 2024. Hata hivyo, kitendo cha Rais Biden kujitoa kwenye kinyang’anyiro hicho na kumpendekeza makamu wake, Kamala…

Read More

Maharage Chande na pandashuka katika mashirika ya umma

Dar es Salaam. Licha ya historia nzuri na sifa lukuki za utendaji, alipokuwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), katika wadhifa wa Posta Masta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania hali imekuwa tofauti. Huu ndiyo uhalisia wa historia ya Maharage Chande katika kuzitumikia taasisi za umma tangu Septemba 2021 alipotoka sekta binafsi. Safari ya Chande katika…

Read More