Ayoub Lakred hatihati Dabi ya Kariakoo

KIPA wa Simba, Ayoub Lakred huenda akakosa mchezo wa Ngao wa Jamii utakaoihusisha timu hiyo dhidi ya Yanga Agosti 8, mwaka huu kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, baada ya kupata majeraha ya misuli ya paja ‘Hamstring’. Ayoub aliyejiunga na Simba Agosti 11, mwaka jana kwa mkataba wa mwaka mmoja kisha kusaini…

Read More

Ruto atangaza mawaziri wengine, yumo Joho

Nairobi. Rais wa Kenya, Wiliam Ruto ameteua Baraza jipya la mawaziri akimjumuisha aliyekuwa Gavana wa Mombasa, Hassan Joho aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Madini na John Mbadi akipewa Wizara ya Fedha. Baraza hilo limetangazwa leo Julai 24, 2024 zikiwa zimepita siku tano tangu litangazwe lile la awali Ijumaa Julai 19, mwaka huu akiwarudisha sita waliokuwa mawaziri…

Read More

Mkurugenzi ulinzi wa viongozi Marekani ajiuzulu sakata la Trump kupigwa risasi

Washington. Kufuatia jaribio la kumuua Rais wa zamani Donald Trump Julai 14, 2024, Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Ulinzi wa Viongozi (Secret Service) Marekani, Kimberly Cheatle, amejiuzulu huku uchunguzi ukiendelea kuhusu upungufu wa kiusalama uliojitokeza kwenye tukio hilo. Katika tukio hilo, Thomas Matthew Crooks (20) alimfyatulia risasi Trump ambaye sasa ni mgombea urais wa…

Read More

HIZI HAPA JEZI ZA SIMBA MSIMU MPYA

#RASMI: Klabu ya Simba imezindua jezi mpya watakazozitumia msimu ujao wa 2024/25 Unatoa asilimia ngapi kati ya 100% ukali wa Uzi huu? Powered by @kobemotor @acbtanzania_ @vodacomtanzania @hisense_tanzania_official @betpawatanzania @wearekerry #SimbaSC #JeziMpya2024/25 #KonceptTvUpdates

Read More