TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA WAHASIBU AFRIKA

Na. Peter Haule na Joseph Mahumi, WF, Arusha Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Pili wa Wahasibu Barani Afrika (African Association of Accountants General Meeting (AAAG)) utakaofanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 3 hadi 5 Disemba Mwaka 2024, ukiwahusisha zaidi wa washiriki 2,000 kutoka takriban nchi 55 za Bara la Afrika. Hayo yameelezwa…

Read More

Ni huyu Priscilla, mpenzi mpya wa Jux kutoka Nigeria

STAA wa Nigeria, Priscilla Ojo, 23, ndiye ameushikilia moyo wa Mtanzania Jux, 34, kwa sasa baada ya mwanamuziki huyo kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Karen Bujulu ambaye walidumu kwa takribani mwaka mmoja kuanzia Januari 2023. Ukiachana na Karen, Jux alishawahi kuwa na warembo wengine kama Jacqueline Wolper, Jackie Cliff, Vanessa Mdee na Nayika Thongom kutoka…

Read More

TANZANIA YATOA NENO UKUBWA WA RIBA KIMATAIFA

  Na Asia Singano, WF, Addis Ababa – Ethiopia Tanzania imeshiriki katika kikao cha Kwanza cha Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Ugharamiaji kwa Maendeleo Endelevu (Fouth International Conference on Financing for Deveoplopment – FfD4 kilichofanyika mjini Addis Ababa nchini Ethiopia huku ikiutaka Umoja wa Mataifa (UN), kujadili upya na kupunguza…

Read More

MAAJABU, San Marino na bata la kufurahi kubaki mkiani  

WIKI iliyopita wakazi wa San Marino, nchi ndogo iliyozungukwa na milima kaskazini mwa Italia walifanya tamasha la kufurahia kupanda daraja katika viwango vya Shirikisho la Kimataifa la Kandanda (Fifa). Nchi hiyo yenye ukubwa wa kilomita 6.2 za mraba ikiwa na  watu 34,000 ambayo siku zote huwa na watalii wasiopungua 10,000 ilipanda daraja kutoka nafasi ya…

Read More

Umeme jua unavyoweza kuleta kicheko kwa wakulima

Mbeya. Matumizi ya teknolojia ya umeme jua maarufu katika kilimo, imetajwa kuwa suluhisho katika uzalishaji wa tija, kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kukwepa gharama kubwa za uendeshaji. Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini imekuwa kinara katika shughuli za kilimo ikitajwa kutoa mchango mkubwa wa chakula kitaifa na kimataifa haswa kwa nchi za ukanda wa…

Read More

Gofu Mombasa yabeba watano Tanzania

WACHEZA gofu wanawake kutoka Tanzania wameanza kujifua kwa ajili ya mashindano ya mchezo huo yatakayochezwa katika viwanja vitano tofauti katika miji ya Mombasa na Malindi nchini Kenya mwanzoni mwa mwezi ujao. Mashindano hayo yatashirikisha wachezaji watano wa kike kutoka klabu za Arusha Gymkhana, TPDF Lugalo na Kili Golf  ya Arusha, kwa mujibu wa katibu wa…

Read More