Magari Dar, Arusha upinzani umerudi upyaa

USHINDI wa 1-2-3 walioupata madereva wa timu ya Mitsubishi dhidi ya madereva wa Subaru, siyo tu umefufua upinzani wa timu hizo, bali pia na ule uliodumu miaka mingi kati ya klabu za Arusha na Dar es Salaam. Yakijinadi kwa jina la Advent Rally of Tanga, mashindano ya mbio za magari ya kufungua msimu yalimalizika mjini…

Read More

Ruto atangaza baraza lingine la mawaziri, Joho yumo

Nairobi. Rais wa Kenya, Wiliam Ruto ameteua Baraza jipya la mawaziri akimjumuisha aliyekuwa Gavana wa Mombasa, Hassan Joho aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Madini na John Mbadi akipewa Wizara ya Fedha. Baraza hilo limetangazwa leo Julai 24, 2024 zikiwa zimepita siku tano tangu litangazwe lile la awali Ijumaa Julai 19, mwaka huu akiwarudisha sita waliokuwa mawaziri…

Read More

Matampi ndani ya Coastal Shirikisho Afrika

JINA la Ley Matampi ni kati ya 32 ya kikosi cha Coastal Union kitakachoiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Matampi ambaye alikuwa anatajwa kuondoka kikosini kwa madai kuwa hana mkataba na timu hiyo amerejea nchini na kujiunga na wenzake tayari kwa ajili ya mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC…

Read More

Utouh: Uwaziri unasahaulisha majukumu ya ubunge majimboni

Dar es Salaam. Kigezo kinachotaka mtu anayeteuliwa kuwa waziri lazima awe mbunge kimetajwa kusababisha mawaziri wengi kusahau wajibu wao wa kutumikia muhimili wa Bunge, badala yake wanaitumikia Serikali pekee. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mstaafu Ludovick Utouh, kigezo hicho kinamlazimu mtu mmoja kuwajibika kwa mihimili miwili, yaani Serikali na Bunge, jambo…

Read More

SERIKALI YAZINDUA RASMI MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA KWA WAKULIMA

Na Mwandishi wetu,Mbinga MATUMIZI ya mbolea hapa nchini,yameongezeka kutoka wastani wa tani 363,599 katika msimu wa kilimo 2021/202 hadi kufikia tani 840,714 kwa msimu wa kilimo 2023/2024.Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa mbolea Tanzania Joel Lauren amesema hayo jana,wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha usajili wa wakulima na matumizi sahihi ya mbolea uliofanyika…

Read More

Mdogo wa Hans Poppe, mwanawe wajisalimisha mahakamani

Hatimaye, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Z.H.Poppe Limited, Caeser Hans Poppe na mwanawe Adam Caeser Hans Poppe, wamejisalimisha wenyewe Mahakama Kuu iliyopo katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia (IJC Temeke). Hatua hiyo ya Caeser na Adam kujisalimisha wenyewe, Mahakamani hapo bila kukamatwa, inatokana na Mahakama hiyo kutoa amri ya kukamatwa kwa…

Read More