Kundi la kwanza la Timu ya Tanzania itayoshiriki Michezo ya Olimpiki nchini Ufaransa limewasili Paris

KUNDI la kwanza la Timu ya Tanzania itayoshiriki Michezo ya Olimpiki nchini Ufaransa limewasili salama jijini Paris asubuhi hii. Kundi hilo la kwanza lina waogeleaji wawili, Sofia Anisa Latiff na Collins Phillip Saiboko na mwalimu wao Alexander Harrison Mwaipasi pamoja na Daktari wa timu, Dkt Eliasa Abdallah Mkongo. Waogeleaji wataanza Mashindano Agosti 30, ambapo Collins…

Read More

Taiwan yakabiliana na Kimbunga Gaemi ofisi na shule zafungwa na safari za ndege zasitishwa

Taiwan imefunga ofisi na shule na kusitisha safari za ndege huku kisiwa hicho kikikabiliana na kimbunga kikali ambacho kinatarajiwa kutua saa chache baada ya mafuriko ya Ufilipino. Kimbunga Gaemi kinatabiriwa kupiga kaskazini mashariki mwa Taiwan saa 10 jioni (14:00 GMT) siku ya Jumatano, na Rais William Lai Ching-te alihimiza kila mtu “kutanguliza usalama” wakati wa…

Read More

SERIKALI INA MAHUSIANO MAZURI NA SEKTA BINAFSI-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema maendeleo yaliyopo nchini hivi sasa yametokana na uhusiano mzuri uliopo baina ya Serikali na sekta binafsi. “Maendeleo tunayoyaona nchini kwetu katika kila sekta yanategemea mchango wa Serikali pamoja na sekta binafsi. Dhamira na maono ya Rais wetu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuimarisha sekta binafsi ili ihuishwe na kuwa mshindani…

Read More

Kampuni ya Koncept Group yasheherekea Miaka 9 ya Ufanisi, yaahidi Makubwa kwa Wadau wake – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kampuni ya Koncept Group chini ya Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji Krantz Charles Mwantepele kwa kushirikiana na wadau wake imeandika historia ya kusherehekea miaka 9 ya mafanikio ya kiutendaji yenye ufanisi wa hali ya juu huku aikiahidi kuendelea kushirikiana na kutoa huduma bora kwa wadau wake. Kampuni hiyo ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 2015 inajihusisha na Masuala…

Read More