NIKWAMBIE MAMA: Anguko letu ndiyo fursa yao, tusikubali

Nianze kwa kukupa pongezi kwa kuhimiza uhifadhi wa mazingira pamoja na kupanda miti. Usemi wako wa “Turekebishe pale tulipopaharibu” umekuwa na maana kubwa kwa Watanzania na wengi wetu tunaunga mkono jitihada hizi kwa moyo mmoja. Vijana kwa wazee sasa wameamshwa na maendeleo ya matumizi ya nishati salama na kuachana na matumizi ya kuni na mkaa….

Read More

Mashishanga agonga 90, akumbuka migogoro Moro

Steven Mashishanga ni kati ya wanasisasa wakongwe nchini ambao watakumbukwa kwa mchango wao katika utumishi wa umma, hasa katika nafasi ya mkuu wa mkoa aliyoitumikia wakati wa Serikali ya awamu ya tatu chini ya Hayati Benjamin Mkapa. Amefanya kazi kama mkuu wa mkoa kwenye mikoa tofauti, ikiwamo ya Tabora (1995 – 1999), Mwanza (1999 –…

Read More

MUNA LOVE ATOA MANENO MAZITO BAADA YA KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME – MWANAHARAKATI MZALENDO

Ukinipa mtoto Tarafanya kazi yako kwa dini zote nitakutangaza kama chini, Patrick nisamehe kwa kukulaumu ni Uchungu Maneno ya @munalove100 baada ya kujifungua mtoto wake wa kiume ambaye amempa jina ‘Testmony’, Kumbuka July 2018 Muna alimpoteza mtoto wake wa kiume ‘Patrick’ ambaye pia amemtaja kwenye ujumbe huu baada ya kujifungua, Muna ameandika, Asante YESU kwanirudishia zaidi ya…

Read More

Mecky ajipa matumini Dodoma Jiji

DODOMA Jiji FC inaendelea na kambi ya maandalizi kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, lakini kuna kitu amekisema kocha mkuu wa timu hiyo, Mecky Maxime. Katika mazungumzo na Mwanaspoti, kocha huyo ameonyesha kufurahishwa na viwango vya nyota wake, huku akifurahishwa na siku chache ambazo wameweka kambi mkoani hapa. Timu hiyo imeweka kambi…

Read More

Mfaransa: Kwa Ahoua mtajuta | Mwanaspoti

KIUNGO mpya wa Simba, Jean Ahoua ameanza balaa huko Misri akipiga bao mbili kwenye mchezo wa kwanza wa kirafiki wa wekundu hao, na kocha mmoja Mfaransa akatuma salamu kwa wapinzani. Kocha Julien Chevalier wa Asec ambaye ni wapinzani wakubwa wa Stella d’Adjame aliyotokea Ahoua ameliambia Mwanaspoti kuwa kiungo huyo jina lake litaimbwa sana na mashabiki…

Read More