Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 9
Habari

Mchungaji anayedaiwa kuua aendelea kusota mahabusu, upelelezi wa kesi haujakamilika

July 31, 2024 Admin

Mwanza. Upelelezi wa shauri la mauaji linalomkabili Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assembly of God (T.A.G) lililopo Buhongwa jijini Mwanza, Ernest George (37) haujakamilika. Akisoma

Read More
Michezo

SIMBA SC YAWASILI NCHINI KUTOKA KAMBINI MISRI – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

Simba SC imerejea kutoka misri ambako iliweka kambi kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu ya NBCPL 2024/25 Mbeleni wakitanguliwa na tamasha

Read More
Habari

WATUMISHI WA AFYA 1,100 WANUFAIKA NA MKAPA FOUNDATION – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

Taasisi ya Mkapa Foundation kwa miaka 18 sasa imetoa nuru kwa watumishi wa afya na taifa kwa ujumla, kwa kuwasaidia watu mbalimbali wenye uhitaji kwa

Read More
Habari

Sh613 milioni kujenga kituo cha kuhifadhia taarifa Pemba

July 31, 2024 Admin

Unguja. Ili kuimarisha uhifadhi wa taarifa na utendaji wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imetia saini mkataba wa ujenzi wa kituo cha kuhifadhia kumbukumbu na

Read More
Kimataifa

UAE ilihimiza kuwaachilia wanaharakati, kufungwa kwa shule nyingi nchini Haiti, misaada kwa wakimbizi wa Sudan walioko Libya – Masuala ya Ulimwenguni

July 31, 2024 Admin

Washitakiwa hao walikuwa ni sehemu ya kundi linalojiita “UAE 84” ambao walikuwa wakikabiliwa na kesi kubwa na kuhukumiwa kwa kuanzisha shirika la kigaidi chini ya

Read More
Burudani

MSANII MKONGWE WA NIGERIA AFARIKI BAADA YA KUTUMBUIZA – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

    Onyeka Onwenu, mwimbaji mashuhuri wa Nigeria, mtunzi wa nyimbo, na mwigizaji, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 72.     Alifariki Jumanne

Read More
Habari

TAHADHARI YATOLEWA MLIPUKO WA UGONJWA HUU – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

  Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imezitaka nchi wanachama wa jumuiya hiyo kuongeza juhudi za kujikinga na kujilinda na ugonjwa wa homa ya nyani (Mpox)

Read More
Habari

KASI YA UJENZI WA UWANJA WA ARUSHA YAMVUTIA WAZIRI MWINJUMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, ametembelea mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa Arusha kukagua maendeleo ya mradi

Read More
Habari

Serikali yaongeza posho kwa madaktari, wauguzi

July 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesema imeongeza posho za madaktari anapoitwa nje ya saa za kazi, posho ya sare za wauguzi na ile ya

Read More
Michezo

SPOTI DOKTA: Kimbia ukate mafuta mwilini

July 31, 2024 Admin

KUMEKUWAPO na matukio mbalimbali ya mbio za hisani, ambayo yamekuwa yakitumika kuhamasisha mazoezi kama nyen-zo ya kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza maarufu kitabibu kama NCD. Katika

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 8 9 10 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.