Sh613 milioni kujenga kituo cha kuhifadhia taarifa Pemba

Unguja. Ili kuimarisha uhifadhi wa taarifa na utendaji wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imetia saini mkataba wa ujenzi wa kituo cha kuhifadhia kumbukumbu na Kampuni ya Emerging Communication Ltd (Ecom). Kituo hicho kitajengwa kwa ufadhili wa Mamlaka ya Mapato ya Norway (NTA) ikiwa ni sehemu ya kuijengea uwezo ZRA, huku Sh613.88 milioni zikitarajiwa kugharamia…

Read More

UAE ilihimiza kuwaachilia wanaharakati, kufungwa kwa shule nyingi nchini Haiti, misaada kwa wakimbizi wa Sudan walioko Libya – Masuala ya Ulimwenguni

Washitakiwa hao walikuwa ni sehemu ya kundi linalojiita “UAE 84” ambao walikuwa wakikabiliwa na kesi kubwa na kuhukumiwa kwa kuanzisha shirika la kigaidi chini ya Sheria ya Kupambana na Ugaidi ya mwaka 2014 nchini humo kwa vitendo vya tangu nyakati za Kiarabu, takriban miaka 14 iliyopita. Wengi walikuwa tayari wamekaa gerezani kwa muongo mmoja kwa…

Read More

Serikali yaongeza posho kwa madaktari, wauguzi

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesema imeongeza posho za madaktari anapoitwa nje ya saa za kazi, posho ya sare za wauguzi na ile ya kuchunguza maiti kuanzia mwaka wa fedha 2024/2025. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni miaka mingi imepita tangu madaktari na wauguzi nchini, kuomba ongezeko hilo. Hayo yamesemwa leo Jumatano, Julai 31, 2024…

Read More

SPOTI DOKTA: Kimbia ukate mafuta mwilini

KUMEKUWAPO na matukio mbalimbali ya mbio za hisani, ambayo yamekuwa yakitumika kuhamasisha mazoezi kama nyen-zo ya kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza maarufu kitabibu kama NCD. Katika mbio nyingi viongozi wa serikali, wakuu wa taasisi mbalimbali toka serikalini na binafsi wamekuwa wakionyesha mfano wa umuhimu wa mazoezi kwa jamii ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza. Mwanaspoti Dokta ikiwa…

Read More