
Novatus aondoka Shakhtar ajiunga Goztepe
Kiungo Mtanzania Novatus Dismas Miroshi (21) amejiunga na Club ya Goztepe ya Uturuki kwa Mkataba wa miaka minne baada ya kumaliza Mkataba wake wa Mkopo Shakhtar Donetsk ya Ukraine. Novatus msimu uliopita alicheza Shakhtar aliyojiunga nao akitokea Zulte Waregem ya Ubelgiji kwa Mkopo wenye kipengele cha kununuliwa moja kwa moja lakini hilo halikufanikiwa. Goztepe ni…