
HAGILA AITABIRIA MAKUBWA PAMBA JIJI
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA MJUMBE wa Bodi ya Pamba Jiji FC,Evarist Hagila amesema Tamasha la Pamba Day ni chachu ya kuwafanya mashabiki kutambua timu yao imerejea ligi kuu. Pia wamesajili wachezaji wa viwango,usajili uliosimamiwa kwa weledi na wataalamu wa soka chini ya Kocha Mkuu wa timu hiyo Goran Kopunovic,raia wa Serbia. Hagila ametoa kauli hiyo…