Simba yatoa msimamo ishu ya Kibu Denis

Uongozi wa Simba umepanga kumchukulia hatua za kinidhamu kiungo wake mshambuliaji, Kibu Denis kutokana na kushindwa kuwasili kwenye kambi ya timu hiyo kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na michuano mingine itakayoshiriki msimu ujao na badala yake amekuwa akitoa sababu tofauti kila siku. Simba kwa sasa iko jijini Ismailia, Misri…

Read More

Wademocrat wajitokeza kumuunga mkono Harris – DW – 22.07.2024

Wachambuzi wanasema kampeni za Harris zinatakiwa kwenda mbali zaidi ya kujikita katika kupambana na mpinzani wake kupitia chama cha Republican, Donald Trump.  Makamu wa Rais Kamala Harris tayari ameanza kuwashawishi wajumbe wa mkutano mkuu wa chama cha Democratic kumuunga mkono anapoianza safari ya kuelekea White House baada ya Rais Joe Biden kujiengua jana Jumapili. Ikiwa atafanikiwa…

Read More

Mtoto adai kuunguzwa moto kisa Sh70,000

Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia John Matemi (48) kwa tuhuma za kumshambulia mtoto wa dada yake mwenye umri wa miaka 14 kwa viboko na kumuunguza mkono, akimtuhumu kumuibia Sh70,000. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo leo Jumanne Julai 23, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema wanamshikilia John kwa tuhuma…

Read More

Shakhtar Donetsk yampotezea Novatus | Mwanaspoti

MIAMBA ya soka la Ukraine, FC Shakhtar Donetsk imeachana na mpango wa kumsajili jumla nyota wa kimataifa kutoka Tanzania, Novatus Dismas aliyekuwa akiichezea timu hiyo kwa mkopo akitokea SV Zulte Waregem ya Ubelgiji. Novatus ambaye mkataba wake na SV Zulte Waregem utatamatika Juni 30, 2025 ameonekana kutokuwa kwenye mipango ya kocha Marino Pusic licha ya…

Read More

Hatima ya Mwabukusi urais TLS Ijumaa

Dar es Salaam. Hatima ya Wakili Boniface Mwabukusi kugombea urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) sasa itajulikana Ijumaa hii ya Julai 26, 2024, wakati Mahakama Kuu itakapotoa uamuzi wa shauri lake la kupinga kuenguliwa katika kinyang’anyiro hicho. Uamuzi huo unaotarajiwa kutolewa siku hiyo na Jaji Butamo Phillip ndio utakaotoa hatima ya Mwabukusi katika kinyang’anyiro…

Read More