CTI Yataka Dira ya 2050 Iweke Kipaumbele Kwa Viwanda

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Wenye Viwanda (CTI), limependekeza maendeleo ya viwanda yapewe kipaumbele kwenye Dira ya Taifa ya 2050. Hayo yamesemwa leo Julai 23,2024 jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa CTI, Leodegar Tenga katika mjadala wa wadau wa viwanda walipokuwa wakijadili Dira ya 2050 na kuzungumzia maendeleo ya viwanda kwa ujumla. Mkutano huo…

Read More

KYENGA:Nilimgomea kocha kwenda kwa mganga ili nishinde

KUTOKA Nyanda za Juu Kusini katika Mkoa wa Mbeya na mkoa mpya wa Songwe, jina la Alto Kyenga katika mchezo wa ngumi za kulipwa lina heshima na ukubwa wake kutokana na kuutendea haki mchezo huo licha ya figisu alizowahi kukutana nazo. Lakini, huenda kwa wale mashabiki wa mchezo huo kupitia runinga wakashindwa kumtambua kabisa bondia…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE AIPONGEZA TARURA KUFUNGUA BARABARA KWENYE MILIMA MIKALI KATA YA MANG’ALIZA

Na. Catherine Sungura, Kibakwe Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ameishukuru na kuipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kuanza kujenga barabara za zege kwenye milima mikali iliyopo kata ya Mang’aliza-Kibakwe wilayani Mpwapwa. Waziri Simbachawene ameyasema hayo wakati wa ziara ya…

Read More

NOVATUS DISMAS AJIUNGA NA GOZTEPE SK YA UTURUKI

#MICHEZO Klabu ya Soka ya nchini Uturuki, Gozpete SK imefaikiwa kuinasa saini ya Mchezaji wa Kimataifa Mtanzania Novatus Dismas Miroshi kutoka klabu ya S.V. Zulte Waregem ya Ubelgiji kwa mkataba wa miaka minne. Leo nyota huyo ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji wa Klabu hio. Powered by @kobemotor @acbtanzania_ @vodacomtanzania @hisense_tanzania_official @betpawatanzania @wearekerry #KonceptTvUpdates

Read More

DIRA ya Taifa 2050 ni maoni ya nchi siku za usoni-Dk. Biteko

*Amezindua Ripoti ya Maendeleo ya Watu Tanzania, 2022 *Wizara, Taasisi, Mashirika na wadau watakiwa kutoa maoni *Makongamano ya kikanda kuendelea Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Imeelezwa kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo ni picha na maono kuhusu mustakabali tarajiwa wa maendeleo ya nchi kwa siku za usoni. Hayo yamebainishwa leo Julai 20, 2024 na Naibu…

Read More

Je, Harris ana uwezo wa kumshinda Donald Trump? – DW – 23.07.2024

Kamala Harris amesema atafanya kila analoliweza kukiunganisha chama cha Democratic na kuliunganisha pia taifa la Marekani ili kumshinda Donald Trump. Kukiunganisha chama ni hatua muhimu kwa sababu Harris anasubiri uteuzi rasmi. Harris ndiye mgombea pekee ambaye ataruhusiwa kisheria kutumia mamilioni ya dola za Marekani zilizochangwa na timu ya kampeni ya Biden, kwa kuwa alikuwa sehemu…

Read More

IGP Wambura, RPC Tanga wafunguliwa kesi sakata la Kombo

Tanga. Mawakili tisa wanaomwakilisha kada wa Chadema, Kombo Mbwana wamefungua kesi dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Camilius Wambura na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi, wakiomba mteja wao aachiliwe huru na alipwe fidia. Kesi hiyo iliyofikishwa Mahakama Kuu Kanda ya Tanga, leo Jumanne Julai 23, 2024 imeahirishwa na Naibu Msajili B.R….

Read More

Rais Ruto Lazima Akomeshe Kutishia Wakenya na Achukue Marekebisho ya Kitaasisi ili kuleta utulivu nchini – Masuala ya Ulimwenguni

Waandamanaji wakati wa maandamano dhidi ya serikali jijini Nairobi. Mkopo: Shutterstock. Maoni na Stephanie Musho (nairobi) Jumanne, Julai 23, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Julai 23 (IPS) – Azimio la mzozo unaoendelea wa Kenya ambao tangu wakati huo umebadilika na kuwa vuguvugu dhidi ya serikali sio rahisi kama vile kuondolewa kwa adhabu. Muswada wa Sheria…

Read More

Mazoezi Simba yamtisha kipa | Mwanaspoti

KIPA wa Simba, Hussein Abel amesema kwa aina ya mazoezi yanayofanywa na kikosi hicho yanampa taswira ya jinsi ambavyo watakuwa na ushindani dhidi ya wapinzani wao. Akizungumza baada ya ushindi katika mechi ya kirafiki dhidi ya El Qanah ya Misri mjini Ismaili kwa mabao 3-0, Abel amesema: “Ushindani unaanzia mazoezini kila mchezaji anatamani kuona kocha…

Read More