
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 22,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 22,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 22,2024 About the author
Kipa namba moja wa Simba SC, Ayoub Lakred anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa miezi sita baada ya kuumia katika kambi ya timu hiyo nchini Misri. Ayoub raia wa Morocco amepata majeraha ya nyama za Paja zitakazomuweka nje kwa kipindi hicho. Kitendo cha Ayoub kuumia kunafanya Simba SC ibakiwe na makipa…
Na Mwandishi Wetu, Katavi Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb), Julai 20, mwaka huu ameendelea na ziara yake ya kikazi kwa kukagua mradi wa ukarabati wa skimu ya umwagiliaji ya Usense, mkoani Katavi, na kuzungumza na wanakijiji wanufaika wa mradi huo. Mradi wa Usense unahusisha eneo la hekta 106 ambapo Waziri Bashe alieleza malengo ya…
Kwenye kikao cha kwanza cha bunge lililorejea kazini tangu kuanza maandamano ya kudai utawala bora,viongozi walitofautiana juu ya uteuzi wa baraza jipya la mawaziri uliofanyika Ijumaa iliyopita. Junet Mohamed ni kiranja wa upinzani na mbunge wa Suna Mashariki amesisitiza kuwa watakuwa makini sana wakati wa kuwapiga msasa mawaziri wapya. Rais William Ruto amefanya mabadiliko katika…
Njombe. Mamia ya wananchi wamejitokeza kwenye maziko ya Godfrey Ndambo (45), aliyekuwa mfanyabiashara maarufu mkoani Njombe. Kabla ya kufanyika kwa maziko hayo, baadhi ya wafanyabiashara walipanga kufunga maduka kwa siku tatu mfululizo kuanzia leo ili kulishinikiza Jeshi la Polisi kuwasaka wahusika wa mauaji hayo. Hata hivyo, baada ya viongozi wa wafanyabiashara hao kufanya mazungumzo na…
Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la Polisi Mkoani Pwani kwa kushirikiana na Maofisa usafirishaji Wilaya ya Kibaha (bodaboda), limezindua zoezi la uvaaji viakisi mwanga katika ili kuwa rasmi na kuepuka kukumbwa na majanga mbalimbali ikiwemo kuporwa vyombo vyao vya moto. Akizungumza katika uzinduzi huo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi ,Pius…
Kuna hatihati kwa nyota wa Tanzania wa mbio za marathoni, Gabriel Geay kushindwa kuchuana kwenye Olimpiki msimu huu kutokana na kuwa majeruhi. Hata hivyo, daktari wa timu ya Tanzania kwenye michezo hiyo, Eliasa Mkongo amesema nyota huyo atasafiri na timu kwenda Paris, Ufaransa inakofanyika michezo hiyo itakayofunguliwa Julai 26. Amesema, Geay ambaye ana maumivu ya…
Home » RAIS SAMIA ATENGUA VIGOGO TTCL,POSTA,UCSAF Featured • Kitaifa About the author
Mahakama ya wilaya ya Babati imemhukumu kwenda jela miaka 30 Ramadhan Idd Kipusa mwenye umri wa miaka 19 baada ya kumkuta na hatia ya kumbaka na kumlawiti binti mwenye miaka 19 ambaye ana ulemavu wa kusikia na kuongea. Hukumu hiyo imetolewa leo Julai 23, 2024, na Hakimu wa Mahakama ya wilaya ya…
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amewataka wapangaji wanaoishi katika nyumba na majengo ya Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kutimiza wajibu wao wa kulipa kodi ya pango ili fedha hiyo itumike kujenga majengo mapya na kuboresha huduma katika majengo mengine ya Wakala huo. Bashungwa alitoa agizo hilo leo, Julai 23, 2024,…