China yasimamia makubaliano ya ushirikiano wa Wapalestina. – DW – 23.07.2024

Israel imeyalaani makubaliano ya Wapalestina ya kuleta umoja na maridhiano, yaliyofikiwa leo huko Beijing. Israel imemkosoa vikali rais Mahmoud Abbas ambaye chama chake cha Fatah kimeridhia kufanya kazi kwa pamoja na Hamas na makundi mengine, kuitawala mamlaka ya Wapalestina. Maridhiano ya Wapalestina yamekuja katika kiwingu cha mashambulio ya Israel yanayoendelea kufanywa  Ukanda wa Gaza. Viongozi…

Read More

Rais Samia atengua tena sita

Dar es Salaam. Wakati mjadala wa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyowaondoa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba na aliyekuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Rais Samia Suluhu Hassan  amefanya utenguzi wa viongozi wa taasisi za mawasiliano nchini. Katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Jumanne Julai 23 2024 na Kurugenzi…

Read More

Ninja kutimkia Lupopo | Mwanaspoti

BEKI Mtanzania Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amemalizana na FC Lupopo ya DR Congo ambapo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia klabu hiyo msimu ujao. Ninja ameiambia Mwanaspoti kuwa sababu kubwa ya kusaini FC Lupopo ni kuona fursa katika timu hiyo kucheza michuano ya kimataifa ambayo itamfanya aendelee kuonekana katika mataifa mbalimbali. Timu itashiriki Ligi ya Mabingwa…

Read More

DKT. MAHERA AELEKEZA MABADILIKO KWA WARATIBU WA MAGONJWA YASITOAMBUKIZA WALIOSHINDWA KUTOA TAKWIMU

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughurikia Afya Dkt. Charles Mahera amemuelekeza Mkurugenzi wa huduma za Afya Ustawi wa Jamii na Lishe kufuatilia na kuwachukulia hatua waratibu wa Mikoa ambao hawajawasilisha takwimu ya magonjwa wasiyoambukiza yakiwemo Sukari na Shinikizo la damu. Dkt Mahera ametoa maelekezo hayo wakati akifungua kikao cha mwaka cha waratibu…

Read More

Wapalestina wakubaliana kuunda serikali ya Umoja wa kitaifa – DW – 23.07.2024

Makundi mbali mbali ya Palestina ikiwemo Hamas na chama cha Fatah wamekubaliana kumaliza tofauti zao na kuunda serikali ya Umoja wa kitaifa. Makubaliano ya kile kilichoitwa azimio la Beijing, yametokana na mazungumzo ya kutafuta maridhiano yaliyoanza tangu tarehe 21 mwezi huu wa Julai na yaliyomalizika leo Jumanne na kutiwa saini katika sherehe iliyofanyika Beijing. Makundi…

Read More

Viwanda vya ndani sasa kupata mikopo bila kikomo

Dar es Salaam. Viwanda vya Tanzania sasa vitakuwa na uwezo wa kuongeza uzalishaji katika kiwango wanachokitaka, baada ya fursa ya kupata mikopo wa  uwekezaji usiokua na ukomo kupitia taasisi ya viwanda Afrika. Fursa hii inakuja wakati ambao viwanda vinapewa nafasi kubwa katika kuchochea ukuaji wa uchumi kupitia Dira ya Maendeleo ya miaka 25 inayomalizika na…

Read More